BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Niliposoma heading nikajua kapigwa na mashabiki
Na mimi nikajuwa hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliposoma heading nikajua kapigwa na mashabiki
AhahaahhahaWenger Sugu Jamani Hata Afungwe Ngapi, Hata Hashtuki
Dawa yake inachemka..Wenger Sugu Jamani Hata Afungwe Ngapi, Hata Hashtuki
He was a known case of htn with h/o stroke .....so possibly stress as a result of difficulties encountered during the match which lead to high Bp hence stroke and finally death .....Rip .Siamini kama kichapo cha goli 3-0 kitaondoka na maisha ya MTU ambae amewahi hata kuucheza Mpira mwenyewe professionally na hata kuwa na taaluma ya ukocha, na zaidi akifanya kazi na Abdallah King Kibadeni, . Katika maisha yao ya kisoka, ni Mara ngapi wamefungwa goli kama hizo? Au zaidi ya hizo? Kwa nini asife toka miaka hiyo? Kwa nini afe kwenye mechi ya mchangani isiyokuwa na ubingwa wala fedha yeyote? Tajeni sababu nyingi be ya kifo chake lakini si kipigo cha goli 3. Labda hiyo hypertension inakubalika but not goli 3. Innah lillahi wainnah illahi rajiuni