Siamini kama kichapo cha goli 3-0 kitaondoka na maisha ya MTU ambae amewahi hata kuucheza Mpira mwenyewe professionally na hata kuwa na taaluma ya ukocha, na zaidi akifanya kazi na Abdallah King Kibadeni, . Katika maisha yao ya kisoka, ni Mara ngapi wamefungwa goli kama hizo? Au zaidi ya hizo? Kwa nini asife toka miaka hiyo? Kwa nini afe kwenye mechi ya mchangani isiyokuwa na ubingwa wala fedha yeyote? Tajeni sababu nyingi be ya kifo chake lakini si kipigo cha goli 3. Labda hiyo hypertension inakubalika but not goli 3. Innah lillahi wainnah illahi rajiuni