Kocha Robetihno Oliviera fundi jezi no 7 aliecheza na Nyota wa Brazili Zicco timu ya Flamingo ya Brazil

Kocha Robetihno Oliviera fundi jezi no 7 aliecheza na Nyota wa Brazili Zicco timu ya Flamingo ya Brazil

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Eeh bana eeeh Robetihno alikuwa mtu na nusu amecheza sana uwanja mkubwa Duniani wa Maracana. Mwamba akivaa jezi no 7 alikiwasha sana.

Huyu mwamba ndiomana hanaga pressure na haogopi kucheza na timu yoyote.

Simba SC imepata bonge la Mwamba katika soka.

Wanaobisha YouTube ipo inakutoa knockout.

Robetihno Oliviera fundi ni zaidi ya Mtu na nusu.

Kocha mzuka Simba nguvu moya

Wadiz
 
Eeh bana eeeh Robetihno alikuwa mtu na nusu amecheza sana uwanja mkubwa Duniani wa Maracana. Mwamba akivaa jezi no 7 alikuwasha sana.

Huyu mwamba ndiomana hanaga pressure na haogopi kucheza na timu yoyote.

Simba SC imepata bonge la Mwamba katika soka.

wanaobisha YouTube ipo inakutoa knockout.

Robetihno Oliviera fundi ni zaidi ya Mtu na nusu.

kocha mzuka Simba nguvu moya

Wadiz
Video clips?
 
Eeh bana eeeh Robetihno alikuwa mtu na nusu amecheza sana uwanja mkubwa Duniani wa Maracana. Mwamba akivaa jezi no 7 alikuwasha sana.

Huyu mwamba ndiomana hanaga pressure na haogopi kucheza na timu yoyote.

Simba SC imepata bonge la Mwamba katika soka.

wanaobisha YouTube ipo inakutoa knockout.

Robetihno Oliviera fundi ni zaidi ya Mtu na nusu.

kocha mzuka Simba nguvu moya

Wadiz
Ngoja waje
 
“……… Simba imepata BONGE LA MWAMBA KATIKA SOKA…!!”

Mkuu hapo ni kweli umemaanisha au??? Huyo BONGE LA MWAMBA KATIKA SOKA, ulikuwa unamjua kabla ya kuja Simba..???

BONGE LA MWAMBA KATIKA SOKA, ndo mpk tumtafute tafute huko youtube na hana clips zozote unazoweza kukutana nazo kirahis…!!!

Unawajua hao wanaoitwa BONGE LA MWAMBA KATIKA SOKA kweli?? Na bado bonge la Mwamba awe Tanzania..??

Bro acha utani bas….!!!
 
Back
Top Bottom