Kocha Simba ataponzwa na Chama na Phili

Kocha Simba ataponzwa na Chama na Phili

Nyuma mwiko wanapokuwa wataalamu wa Simba kuliko hata Simba wenyewe.Ndio utajua wavimbiwa mihogo hawana cha maana cha kufikiri bali kuwa makuwadi wa kuisemea Simba.Mwiko nyuma wacheni unafiki.Simba haiwahusu.
Kifo kitawafichua, ni muda TU.
 
Nyuma mwiko wanapokuwa wataalamu wa Simba kuliko hata Simba wenyewe.Ndio utajua wavimbiwa mihogo hawana cha maana cha kufikiri bali kuwa makuwadi wa kuisemea Simba.Mwiko nyuma wacheni unafiki.Simba hai
 
Chama huyo anacheza sana na mashabiki na ndio maana anapenda kukaa na mpira muda mrefu hadi wakati mwingine ananyang'anywa na ndio maana hawezi kuchezea timu kubwa kubwa.

Ana ubishoo mwingi sana ili mashabiki wamsifie, baada ya Simba hawezi tena kuchezea timu yoyote ya maana.
Kwa hiyo unatuthibitishia kuwa utopolo ni timu ndogo, maana kila msimu mitandao inajaa habari za Chama kuachana na Simba kwenda Yanga
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kifo kitawafichua, ni muda TU.
Mbona unateseka sana na Simba kuliko hata timu yako?Kifo kitatufichua?Ni semi za kijinga zisizo na mashiko.Hii bidii unaoioyesha kwa Simba na kujaribu kutatua matatizo ya Simba ungeilekeza kwenye timu yako.Simba haina haja ya ushauri wako wa kijinga.Usijipotezee muda.
 
Mbona unateseka sana na Simba kuliko hata timu yako?Kifo kitatufichua?Ni semi za kijinga zisizo na mashiko.Hii bidii unaoioyesha kwa Simba na kujaribu kutatua matatizo ya Simba ungeilekeza kwenye timu yako.Simba haina haja ya ushauri wako wa kijinga.Usijipotezee muda.
Una uhakika? Hata kadi ya Simba huna mshabiki oyaoya
 
Vipi umeguswa?Namba yangu ya uanachama Simba ni 1454.Mimi sio gongowazi wazi kama wewe.Na ushauri wangu nguvu unazotumia kwa Simba elekeza hizo juhudi kwenye timu unayoishabikia. Usishobekee visivyokuhusu.
 
Chama huyo anacheza sana na mashabiki na ndio maana anapenda kukaa na mpira muda mrefu hadi wakati mwingine ananyang'anywa na ndio maana hawezi kuchezea timu kubwa kubwa.

Ana ubishoo mwingi sana ili mashabiki wamsifie, baada ya Simba hawezi tena kuchezea timu yoyote ya maana.
Leo coastal kocha ni zahera, sio mgunda shabiki wa Simba. Chini ya Medol Simba ilikuwa inapata shida kuliko chini ya mgunda.
 
Chama huyo anacheza sana na mashabiki na ndio maana anapenda kukaa na mpira muda mrefu hadi wakati mwingine ananyang'anywa na ndio maana hawezi kuchezea timu kubwa kubwa.

Ana ubishoo mwingi sana ili mashabiki wamsifie, baada ya Simba hawezi tena kuchezea timu yoyote ya maana.
Huko utopoloni kila dirisha la usajili likifunguliwa wanamsajili CCC ila msimu ukianza mwamba anachezea SIMBA SC
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Huko utopoloni kila dirisha la usajili likifunguliwa wanamsajili CCC ila msimu ukianza mwamba anachezea SIMBA SC
Anachezea Simba na kukosa makombe yote, Kuna ubaya gani hapo?
 
Amepata makombe na mafanikio kuliko mchezaji yeyote wa Yanga.Unabisha mtaje huyo mchezaji.
 
Leo coastal kocha ni zahera, sio mgunda shabiki wa Simba. Chini ya Medol Simba ilikuwa inapata shida kuliko chini ya mgunda.
Na kweli leo Simba wamepata shida sana.Ujinga nao ni kipaji.
 
ule nao ni mpira, maiti!! kwa mpira ule yajayo yanafurahisha.
Umebakia kuwa Sheikh Yahya wa mchongo.Hakuna ligi ya wajinga.Ndio maana kuna magoli. Wewe endelea na utabiri wako.Vipi Mwinyi Zahera hajambo?
 
Umebakia kuwa Sheikh Yahya wa mchongo.Hakuna ligi ya wajinga.Ndio maana kuna magoli. Wewe endelea na utabiri wako.Vipi Mwinyi Zahera hajambo?
Booo! yule nae kocha? timu ile ina bejeti ndogo sana
 
Booo! yule nae kocha? timu ile ina bejeti ndogo sana
Leo sio kocha wakati alikuwa kocha wenu na kuwasaidia hata kununua mihogo.Kweli nyuma mwiko hamna shukurani.Bajeti ingekuwa inacheza mpira Man United asingefungwa na Brighton.
 
Back
Top Bottom