Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kulalamika imekuwa tabia yetu watanzania, jana Stars ilicheza vzr sana, hasa Haji Mnoga, huyu kijana wakati anakuja awali akicheza beki ya kulia hatukuwa tukimwelewa kabisa lkn ss hv yuko timamu mno, amekuwa na confidence ya kutosha, jana he was man of the match. KIKOSI Kilicheza vzr mno na kama sio mapungufu ya golikipa kufungwa bao rahisi la kwanza gemu ile tungeweza kumaliza vizuri, ni ukweli kabisa wachezaji wanaocheza nje wameleta mabadiliko makubwa kikosini, Stars inacheza mpira unaonekana, kufungwa ni kawaida tu mbona Brazil jana kafungwa na Argentina nyumbani kwao?
Suala kuwa kwann Manula hakupangwa sijui kwann Kibu kaanza mara kwann Feitoto hakucheza ni mambo ya kijinga tu, kocha ndiye anayejua, sababu kuwa eti kocha ni mwarabu kwahiyo amewabeba waarabu wenzie ni ujinga wa kiwango cha chuo kikuu.
Vijana walikuwa wanapiga pasi za uhakika, walijiamini na kucheza kwa bidii kwa ukubwa sana, Morocco sio wenzetu, kuifunga Morroco ilikuwa ni kudanganyana, tumepunguza sana mabao jana, Watu wamecheza nusu fainal kombe la dunia halafu sisi tuko kwenye take off stage tuwafunge, kweli? Hatuoni hata aibu.
Nampongeza sana kocha, Stars sio mnyonge sasa hv, tulienda kumpiga Niger kwao na wao wamempiga Zambia kwao, hamuoni we deserve respect. Tuwatie moyo wachezaji na viongozi ili tumalize safari vzr, kutukana, kukashifu, kukebehi, kuponda na kujifanya tunajua mpira Sanaa wakati hatukuusomea ni kuudhalilisja mpira, kwenye mapungufu tutoe maoni ili yafanyiwe kazi.
Mwisho, Haji Mnoga amebadilika sana, ana uwezo mkubwa sana akicheza kiungo kuliko beki wa kulia.Jana aliwabana sana waarabu, yeye na Bajana walistahili pongezi kwa mchezo mzuri wa jana.
Suala kuwa kwann Manula hakupangwa sijui kwann Kibu kaanza mara kwann Feitoto hakucheza ni mambo ya kijinga tu, kocha ndiye anayejua, sababu kuwa eti kocha ni mwarabu kwahiyo amewabeba waarabu wenzie ni ujinga wa kiwango cha chuo kikuu.
Vijana walikuwa wanapiga pasi za uhakika, walijiamini na kucheza kwa bidii kwa ukubwa sana, Morocco sio wenzetu, kuifunga Morroco ilikuwa ni kudanganyana, tumepunguza sana mabao jana, Watu wamecheza nusu fainal kombe la dunia halafu sisi tuko kwenye take off stage tuwafunge, kweli? Hatuoni hata aibu.
Nampongeza sana kocha, Stars sio mnyonge sasa hv, tulienda kumpiga Niger kwao na wao wamempiga Zambia kwao, hamuoni we deserve respect. Tuwatie moyo wachezaji na viongozi ili tumalize safari vzr, kutukana, kukashifu, kukebehi, kuponda na kujifanya tunajua mpira Sanaa wakati hatukuusomea ni kuudhalilisja mpira, kwenye mapungufu tutoe maoni ili yafanyiwe kazi.
Mwisho, Haji Mnoga amebadilika sana, ana uwezo mkubwa sana akicheza kiungo kuliko beki wa kulia.Jana aliwabana sana waarabu, yeye na Bajana walistahili pongezi kwa mchezo mzuri wa jana.