TANZIA Kocha Sven-Goran Eriksson amefariki Dunia

TANZIA Kocha Sven-Goran Eriksson amefariki Dunia

Ingekuwa bongo tayari mahema na viti nyumbani kwa marehemu, huku michango na wapigaji humo humo. Wenzetu wanaomba privacy, wasipigiwe wala kutumiwa jumbe, ukitaka tuma huko kwa website.....

Dunia mbili tofauti!!
Na daftari kuubwa pamoja na picha ya marehemu nyumba kwa nyumba vs mtaa kwa mtaa
Umaskini mkuu wangu unaleta yote haya
 

Aliyekuwa meneja wa zamani wa timu ya taifa ya England, Sven-Göran Eriksson, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76. Eriksson alitangaza kuwa ana ugonjwa wa saratani usiotibika mnamo Januari mwaka huu. Mswidi huyu alikuwa kocha wa kwanza wa kigeni kuinoa timu ya taifa ya England. Aliongoza timu hiyo kufika hatua ya robo fainali kwenye Kombe la Dunia la mwaka 2002 na 2006, pamoja na Euro ya mwaka 2004.

BBC
=============

Former England football manager Sven-Goran Eriksson has died aged 76 after becoming terminally ill with pancreatic cancer.


The Swedish boss – who said in January he had 'best case a year' to live after his diagnosis - became the first foreigner to lead the England national team in 2001.

Eriksson led the squad to quarter finals of the 2002 and 2006 World Cups, and at the 2004 European Championship.

He famously managed a golden generation of players, including David Beckham, Paul Scholes, Frank Lampard, Wayne Rooney and Steven Gerrard.

Eriksson also led Swedish, Portuguese and Italian clubs to major trophies in the 1980s and 1990s before taking on the England job.

Bo Gustavsson, an agent in Sweden who worked with Eriksson, said in a statement issued today: 'Sven-Goran Eriksson has passed away.

'After a long illness, SGE died during the morning at home surrounded by family.

'The closest mourners are daughter Lina; son Johan with wife Amana and granddaughter Sky; father Sven; girlfriend Yanisette with son Alcides; brother Lars-Erik with wife Jumnong.

'The family asks for respect for their wish to mourn in private and not be contacted. Condolences and greetings can be left on the website www.svengoraneriksson.com.'
May his soul rest in eternal peace.

Naona baba yake bado yupo hai.

I wonder atakuwa ana umri gani.
 
Apumzike kwa amani, namkumbuka wakati wake akiwa mkufunzi wa timu ya taifa ya England
Watoto wa 2000 hawawezi kumjua

Nskumbuka mwaka 2002 world cup ilifanyikia huko Asia mechi zote tulikuwa tunaangalia saa mbili asubuhi kama sikosei kupitia antena ndefu aina ya SONET tv Panasonic

Mechi ilikuwa ni kati ya ENGLAND Vs BRAZIL robo fainali golikipa Siemens, namba saba Beckham na tisa Owen bila kumsahau mpiga mashuti Paul scholes

Gaucho alikuwa na Red card hakucheza, Ronaldo akawaangamiza England

Kocha alikuwa Erickson
 
Watoto wa 2000 hawawezi kumjua

Nskumbuka mwaka 2002 world cup ilifanyikia huko Asia mechi zote tulikuwa tunaangalia saa mbili asubuhi kama sikosei kupitia antena ndefu aina ya SONET tv Panasonic

Mechi ilikuwa ni kati ya ENGLAND Vs BRAZIL robo fainali golikipa Siemens, namba saba Beckham na tisa Owen bila kumsahau mpiga mashuti Paul scholes

Gaucho alikuwa na Red card hakucheza, Ronaldo akawaangamiza England

Kocha alikuwa Erickson
Golikipa alikuwa Seamen sio Siemens
 
Watoto wa 2000 hawawezi kumjua

Nskumbuka mwaka 2002 world cup ilifanyikia huko Asia mechi zote tulikuwa tunaangalia saa mbili asubuhi kama sikosei kupitia antena ndefu aina ya SONET tv Panasonic

Mechi ilikuwa ni kati ya ENGLAND Vs BRAZIL robo fainali golikipa Siemens, namba saba Beckham na tisa Owen bila kumsahau mpiga mashuti Paul scholes

Gaucho alikuwa na Red card hakucheza, Ronaldo akawaangamiza England

Kocha alikuwa Erickson

Sio kweli, Gaucho alipewa kadi kwenye hiyo mechi dakika ya 58 baada ya kumtungua Seamen. England ililala 2-1 Michuano hiyo iliandaliwa na Japan na Korea Kusini
 
Sio kweli, Gaucho alipewa kadi kwenye hiyo mechi dakika ya 58 baada ya kumtungua Seamen. England ililala 2-1 Michuano hiyo iliandaliwa na Japan na Korea Kusini
Mkuu ni miaka 22 sasa imepita nimekosea kidogo sana ila kumbu kumbu zangu zipo sawa

Brazil walivaa jezi ya blue na bukta nyeupe
 

Aliyekuwa meneja wa zamani wa timu ya taifa ya England, Sven-Göran Eriksson, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76. Eriksson alitangaza kuwa ana ugonjwa wa saratani usiotibika mnamo Januari mwaka huu. Mswidi huyu alikuwa kocha wa kwanza wa kigeni kuinoa timu ya taifa ya England. Aliongoza timu hiyo kufika hatua ya robo fainali kwenye Kombe la Dunia la mwaka 2002 na 2006, pamoja na Euro ya mwaka 2004.

BBC
=============

Former England football manager Sven-Goran Eriksson has died aged 76 after becoming terminally ill with pancreatic cancer.


The Swedish boss – who said in January he had 'best case a year' to live after his diagnosis - became the first foreigner to lead the England national team in 2001.

Eriksson led the squad to quarter finals of the 2002 and 2006 World Cups, and at the 2004 European Championship.

He famously managed a golden generation of players, including David Beckham, Paul Scholes, Frank Lampard, Wayne Rooney and Steven Gerrard.

Eriksson also led Swedish, Portuguese and Italian clubs to major trophies in the 1980s and 1990s before taking on the England job.

Bo Gustavsson, an agent in Sweden who worked with Eriksson, said in a statement issued today: 'Sven-Goran Eriksson has passed away.

'After a long illness, SGE died during the morning at home surrounded by family.

'The closest mourners are daughter Lina; son Johan with wife Amana and granddaughter Sky; father Sven; girlfriend Yanisette with son Alcides; brother Lars-Erik with wife Jumnong.

'The family asks for respect for their wish to mourn in private and not be contacted. Condolences and greetings can be left on the website www.svengoraneriksson.com.'
Rip
 
Apumzike kwa amani.

Ingekuwa bongo ingekuwa fursa ya wasanii na wanasiasa kwenda kuuza sura kwa kupiga picha.

Ingekuwa fursa kubwa zaidi kwa Msechu kuachia track.
Halafu huyo jamaa jana nimemuona jamhuri stadium dodoma aseeh ule unene hapana.

Anyway rest easy coach
 
Kuna rafiki yangu shabiki Mkubwa wa England Toka kitambo,

Hii Taarifaa imemsikitisha,

Japo yeye alikuwa anamuona kuwa ni Avarege coach, kwamba kikosi kile Cha akina lampad, Gerald , Beckham, & nk kilimzidi uwezo .

REQUIESCAT in peace, Goran Ericksson.

If you want to know who Iam, The Answer is Ashe's & Burnt Embers.


(N.f. .f. n.s . n. c)

I was not. I was, Iam not. I care not.
 
Back
Top Bottom