sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Kauli hiyo ilitolewa jana na kocha msaidizi, Mtalamu Hemed Morocco, wakati akitangaza kikosi kitakachopambana na Malawi siku zijazo.
Namnukuu.. "Mwinyi Kazimoto umri wake bado ni mdogo kutangaza kuacha kulitumikia taifa na anachokifanya ni kujimaliza".. Pia alimsihi kurudi kulitumikia Taifa lake, kwani mchango wake bado unahitajika saaaana.
Nami naungana na Hemmed Morocco, kumsihi Mwinyi Kazimoto a.k.a Ball Dancer.. Ball Dancer taifa bado linakuhitaji sana.. Shime futa kauli yako.
Namnukuu.. "Mwinyi Kazimoto umri wake bado ni mdogo kutangaza kuacha kulitumikia taifa na anachokifanya ni kujimaliza".. Pia alimsihi kurudi kulitumikia Taifa lake, kwani mchango wake bado unahitajika saaaana.
Nami naungana na Hemmed Morocco, kumsihi Mwinyi Kazimoto a.k.a Ball Dancer.. Ball Dancer taifa bado linakuhitaji sana.. Shime futa kauli yako.