Kocha wa Azam anena haya kuhusu Yanga

Kocha wa Azam anena haya kuhusu Yanga

mjogoro

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
882
Reaction score
652
Ni mtazamo wake. Matusi yaelekezwe kwake. Mjumbe hauawi
Screenshot_20220408-160749_Instagram.jpeg
 
Lkn yupo sahihi. Tangu msimu huu uanze, ni Mbeya city na Namungo pekee ndo hazijafungwa na Yanga. Simba aliliwa (Ngao ya jamii), Azam kachapwa nje ndani ligi kuu
Nafikiri anajaribu kuhalalisha kufungwa kwao ionekane tatizo halipo kwake ila timu ilizidiwa ubora na Utopolo.
 
Lkn yupo sahihi. Tangu msimu huu uanze, ni Mbeya city na Namungo pekee ndo hazijafungwa na Yanga. Simba aliliwa (Ngao ya jamii), Azam kachapwa nje ndani ligi kuu
Na simba pia walipata bahati ya sare kwenye mchezo wa awali.
 
We unamuamini huyo mchaga kweli.
 
Back
Top Bottom