Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dabo si kocha mkuuKwa uwekezaji na usajili walioufanya Azam fc halafu wanatolewa round ya kwanza kwenye klabu bingwa ya Africa, Dabo ameonyesha madhaifu makubwa kupigwa 2-0 na Apr ya Rwanda.
APR siyo Vitaro au Zalan ndugu.Kwa uwekezaji na usajili walioufanya Azam fc halafu wanatolewa round ya kwanza kwenye klabu bingwa ya Africa, Dabo ameonyesha madhaifu makubwa kupigwa 2-0 na Apr ya Rwanda.
Bora Namungokwani APR unawachukuliaje?
Ikicheza na Simba ni vibonde etikwani APR unawachukuliaje?
Dabo ni kocha mkuu kiutendaji ila kwenye makaratasi ni kocha msaidiziDabo si kocha mkuu