Tetesi: Kocha wa Azam keshapewa thank you

Tetesi: Kocha wa Azam keshapewa thank you

rodrick alexander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
16,784
Reaction score
23,312
Tayari Azam wameshaachana na kocha wao na benchi la UFUNDI kutokana na matokeo yadiyoridhisha.
Jambo Kama hili wengi walilitegemea kutokana na uwekezaji uliofanywa na matokeo wanayopata.

Mtazamo wangu binafsi sio kocha peke yake ndio chanzo cha kufanya vibaya lakini uongozi pia ulichangiwa pakubwa kwani msimu uliopita Azam FC walikuwa na timu nzuri lakini badala ya kuziba mapengo machache kwanza wakauza silaha muhimu ka Kipre Junior na pia wakasajili wachezaji wengi bila kuangalia nahitaji ya timu.

Wanatakiwa waiangalie menejimenti kwa jicho la tatu na pia ikiwezrkana wachukue watu kutoka nchi Kama Morocco ambao eamebobea kwenye maswala ya uendeshaji timu
 
Kumekuchaaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ili utoboe hapa bongo hutakiwi kuwa na CEO mzawa especially hizi timu tofauti ya Simba na Yanga sababu unakuta ile top management yote ni Simba na Yanga
 
Sasa kumuuza Tu kipre ndo timu nzima iyumbe...?
Azam tatizo lilikua huyo kocha ni Hamna kitu jamaa kila siku anajaribu mifumo mipya kwenye mechi muhimu!..

Sasa kama Ile siku ya Fainali ya Ngao ya hisani mwamba kaanza na mfumo wa 3-4-3 kwanini asichezee nyingi Kwa timu kama Yanga yenye wachezaji wanaoanzisha Pasi za haraka na kupiga krosi au kutumia mabeki wa pembeni wanao-act kama mawinga, Left wing back LWB...
Ule mfumo sijui kama walikua wametrain vizuri maana Kila kaunta attack ilikua inazaa Goli maana hata hao mabeki watatu walikua wanapanda kushambulia...

Akija kocha mwenye uwezo mkubwa hawezi kupigwa kizembe na APR wakati Una kikosi quality...
Hivi kweli Mfano Una Mohamed Mustafa, Pascal Msindo, Yannick Bangla, Lusajo mwaikenda, Yaison Fuentes, Mtasingwa,Tiesse, Blanco, Silah na Fundi Feisal...
Hapo nje bado Una Meza, Adam Adam, na Nado halafu bado unacheza mpira usioeleweka!!.?
 
Popat ndie tatizo pale Azam, asipoondolewa yeye watafukuza makocha kila siku.
 
Kwa sasa kocha hana kosa. Tatizo Feisal Salum kaja na gundu. Huwezi kusingizia kulishwa Ugali na Sukari ukatoboa. Kokote atakapokwenda hawezi kufanikiwa
 
Kilichotokea msimu ulioisha ndio kinatokea sasa...

Hii iwape picha kwamba shida sio makocha...

Wamuondoe Popat na wajinga wenzake pale kwa management, vinginevyo watamaliza makocha Afrika yote na wasipate suruhu...
 
Tayari Azam wameshaachana na kocha wao na benchi la UFUNDI kutokana na matokeo yadiyoridhisha.
Jambo Kama hili wengi walilitegemea kutokana na uwekezaji uliofanywa na matokeo wanayopata.

Mtazamo wangu binafsi sio kocha peke yake ndio chanzo cha kufanya vibaya lakini uongozi pia ulichangiwa pakubwa kwani msimu uliopita Azam FC walikuwa na timu nzuri lakini badala ya kuziba mapengo machache kwanza wakauza silaha muhimu ka Kipre Junior na pia wakasajili wachezaji wengi bila kuangalia nahitaji ya timu.

Wanatakiwa waiangalie menejimenti kwa jicho la tatu na pia ikiwezrkana wachukue watu kutoka nchi Kama Morocco ambao eamebobea kwenye maswala ya uendeshaji timu
Azam ya mwaka huu ni mbovu kuliko Simba ya mwaka jana..
 
Tayari Azam wameshaachana na kocha wao na benchi la UFUNDI kutokana na matokeo yadiyoridhisha.
Jambo Kama hili wengi walilitegemea kutokana na uwekezaji uliofanywa na matokeo wanayopata.

Mtazamo wangu binafsi sio kocha peke yake ndio chanzo cha kufanya vibaya lakini uongozi pia ulichangiwa pakubwa kwani msimu uliopita Azam FC walikuwa na timu nzuri lakini badala ya kuziba mapengo machache kwanza wakauza silaha muhimu ka Kipre Junior na pia wakasajili wachezaji wengi bila kuangalia nahitaji ya timu.

Wanatakiwa waiangalie menejimenti kwa jicho la tatu na pia ikiwezrkana wachukue watu kutoka nchi Kama Morocco ambao eamebobea kwenye maswala ya uendeshaji timu
Wamechelewa but na benchinla ufundi pia, football directors na team ya usaili.
Azam lazima wawe na staff ambao hawana small team mentality
 
Back
Top Bottom