Mike Moe
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 319
- 335
Kocha wa club ya FC Barcelona mhispania Ernesto Valverde ameendeleza wimbi la matokeo mabovu baada ya kulazimishwa sare pacha na timu kutoka Czech Republic ikifahamika kama Salvia Praha katika dimba lao la nyumbani la Camp Nou hii ni baada ya wikend iliyopita kupokea kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa club ya Levante hii inamuweka katika wakati mgumu kocha huyo kwani anaweza futwa kazi muda wowote kutoka hivi sasa