rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Chai ya motoKocha wa CR Belouizdad ambaye pia aliwahi kuifundisha Simba, Whydad amefukuzwa kwenye timu hiyo ambayo imepangwa kundi moja na yanga kwenye ligi ya mabingwa Afrika.
Kocha huyo amefukuzwa kutokana na kutokuwa na matokeo yanayoelewa ingawa wachunguzi wa Mambo wanasema sababu nyingine ni kuwaambia viongozi wake aliwahi kuifunga yanga goli 4 wakati viongozi wake wanataka kuifunga yanga goli 6 hivyo wakaona hawafai.
Sio mechi moja wanasema mechi moja anashinda, nyingine draw na nyingine anafungwa.Duh,,kwo Sven kafukuzwa??
Mbona kacheza mechi moja tu ya ligi?
Mnafanya watu waliojiunga na JF waonekane Mazuzu wakati Mazuzu hamfiki 10.Kocha wa CR Belouizdad ambaye pia aliwahi kuifundisha Simba, Whydad SVENV VANDENBROECK
kwenye timu hiyo ambayo imepangwa kundi moja na yanga kwenye ligi ya mabingwa Afrika.
Kocha huyo amefukuzwa kutokana na kutokuwa na matokeo yanayoelewa ingawa wachunguzi wa Mambo wanasema sababu nyingine ni kuwaambia viongozi wake aliwahi kuifunga yanga goli 4 wakati viongozi wake wanataka kuifunga yanga goli 6 hivyo wakaona hawafai.
Wenye Yanga yenu venye hampendi kuona timu yenu inadharauliwaMnafanya watu waliojiunga na JF waonekane Mazuzu wakati Mazuzu hamfiki 10.
Ameikimbia Yanga...aahaaaaaWenye Yanga yenu venye hampendi kuona timu yenu inadharauliwa
Nikishaacha kukwambia kuwa Mimi si shabiki wa Yanga, nimeacha uamini unachoamini. Lakini hebu tafuta comments zangu Kwa watu wa Yanga wanaoleta threads za kitoto.Wenye Yanga yenu venye hampendi kuona timu yenu inadharauliwa
AahaaaaKocha wa CR Belouizdad ambaye pia aliwahi kuifundisha Simba, Whydad SVENV VANDENBROECK
kwenye timu hiyo ambayo imepangwa kundi moja na yanga kwenye ligi ya mabingwa Afrika.
Kocha huyo amefukuzwa kutokana na kutokuwa na matokeo yanayoelewa ingawa wachunguzi wa Mambo wanasema sababu nyingine ni kuwaambia viongozi wake aliwahi kuifunga yanga goli 4 wakati viongozi wake wanataka kuifunga yanga goli 6 hivyo wakaona hawafai.
Simba na yanga ni watani wa Hadi Soma ueleeeChai ya moto
Kocha afukuzwe kisa kusema aliwahi kuifunga goli 4??
Viongozi wamfukuze kisa wanataka goli 6 na mechi bado haijachezwa bora ingekuwa ishachezwa
Nyie wenye akili mmeshaongezeka.Mnafanya watu waliojiunga na JF waonekane Mazuzu wakati Mazuzu hamfiki 10.
Hukuwa na sababu ya kuyaweka hayo maneno yako ya mwishoni. Maana kwa kufanya hivyo, yanakuweka kwenye kundi moja na yule ndugu yako Popoma.Kocha wa CR Belouizdad ambaye pia aliwahi kuifundisha Simba, Sven Vandenbroeck amefitwa kazi kwenye timu hiyo ambayo imepangwa kundi moja na yanga kwenye ligi ya mabingwa Afrika.
Kocha huyo amefukuzwa kutokana na kutokuwa na matokeo yanayoelewa ingawa wachunguzi wa Mambo wanasema sababu nyingine ni kuwaambia viongozi wake aliwahi kuifunga yanga goli 4 wakati viongozi wake wanataka kuifunga yanga goli 6 hivyo wakaona hawafai.
Simba na yanga ni watani nimeyaweka baada ya kuweka ujumbe husikaHukuwa na sababu ya kuyaweka hayo maneno yako ya mwishoni. Maana kwa kufanya hivyo, yanakuweka kwenye kundi moja na yule ndugu yako Popoma.