Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Huu ndio ukweli wanasimba wenzangu mkubali au mkatae.. Tuna ombwe kubwa la uongozi pale Simba S.C
Tatizo la timu kukosa head coach paka sasa wakati ligi imeanza na tuna malengo yakufika mbali cafcl linatufanya tuonekane hatuko serious.
Karibu mwaka wa tatu huu uongozi umekuwa ukituhadaa kwa kutuletea makocha wa hovyo hovyo wa bei rahisi huku wakiwapa malengo makubwa na kwakujua kabisaa makocha hao hawataweza kuyafikia ili wapate sababu ya kuwafukuza na kisha kuja kuwadanganya wanachama eti kocha hajatimiza malengo ya klabu hivyo tumevunja mkataba nae
Kwa timu hii ya kina John Bocco, Jimmyson mwanuke, Gadiel Michael, Mzamiru, Erasto Nyoni, Mkude, Israel mwenda, Onyango,Ouatara na kocha ndio huyo deiwaka mgunda ndio tufike semi final cafcl[emoji848][emoji848][emoji848]??
Tuamke sasa, uongozi uliopo Sasa Simba S.C haufai mabadiliko yanaitajika haraka sana hasa pale juu kwa yule bi dada maana ameshapwaya pakubwa sana.
Mjumbe hauwawi..
Simba nguvu Moja[emoji123][emoji123]
Tatizo la timu kukosa head coach paka sasa wakati ligi imeanza na tuna malengo yakufika mbali cafcl linatufanya tuonekane hatuko serious.
Karibu mwaka wa tatu huu uongozi umekuwa ukituhadaa kwa kutuletea makocha wa hovyo hovyo wa bei rahisi huku wakiwapa malengo makubwa na kwakujua kabisaa makocha hao hawataweza kuyafikia ili wapate sababu ya kuwafukuza na kisha kuja kuwadanganya wanachama eti kocha hajatimiza malengo ya klabu hivyo tumevunja mkataba nae
Kwa timu hii ya kina John Bocco, Jimmyson mwanuke, Gadiel Michael, Mzamiru, Erasto Nyoni, Mkude, Israel mwenda, Onyango,Ouatara na kocha ndio huyo deiwaka mgunda ndio tufike semi final cafcl[emoji848][emoji848][emoji848]??
Tuamke sasa, uongozi uliopo Sasa Simba S.C haufai mabadiliko yanaitajika haraka sana hasa pale juu kwa yule bi dada maana ameshapwaya pakubwa sana.
Mjumbe hauwawi..
Simba nguvu Moja[emoji123][emoji123]