Kocha wa Harambee stars aivimbia Kenya kwa sababu ya umasikini wa Kenya

Kipindi kile ulivyo weka picha umevaa suti tulikupa darasa uka elewa somo. Sasa na leo chukua hili, bracelet na saa ziki valiwa mkono mmoja inakua uchafu. Usipende kuzidisha kwenye kutupia madini, inaondoa mvuto.
Haaaa hasa jamaa ana ule ushamba wa kikenya...mungiki has got no swaggz
 
Kweli bongo ni masikini wala hakuna ubishi hapo, lakini huyo Kocha kaonyesha dharau kwa hayo maneno, sijui itakuwa gharama kiasi gani kuvunja kataba wake ila sometimes heshima ya nchi ni bora ikaangaliwa pia
 
Heheeee...sasawa, nimekuskia mlezi....ila ni vya kwangu..so nitavaa nipendavyo...
Jaribu na wewe kijana wako ajitume...sio ji mtu lina miaka 25 bado wapagawa na vitu vya dingire...baba hatokupa kile unachotaka kila siku..kwnza kw umri huu nlionao..waache dada zangu wa enjou kw sasa...mimi atakuwa aki ni boost tu mahali yenye nakwama...sio kila akiingia akitoka anakuona kw makochi yaje wachat hku ukitumia wi-fi yake tena nyumbani kwake...mara usha host bash...vijana tuamke..

Kwanza hapo kw suti usinigusie.. sipendi kuvaa suti mimi..wacha tu...
Kipindi kile ulivyo weka picha umevaa suti tulikupa darasa uka elewa somo. Sasa na leo chukua hili, bracelet na saa ziki valiwa mkono mmoja inakua uchafu. Usipende kuzidisha kwenye kutupia madini, inaondoa mvuto.
 
Good! Bora yako kuliko wakina Mwasiti wana lala kwenye mabanda uko Nai. Next time vaa bracelet mkono wa kulia! Hivi dogo hupo Mombasa? Kuna ishu nataka kutoka jamaa wa Steelex, kama hupo Msa unaeza nisaidia.
 
Itakuwa wanamkopa sana
 
Looks like Inyenzi
 

Aisee wee jamaa ni insane!
 
How stupid does someone becone to refer to Tanzania as a moneyed country?
 
Kwa common sense yako bro mtu anaweza kuondoka pasi na kulipwa ??!!!!!!!
Duh unasikitisha wewe.
Ni vigumu kuondoka mtu pasi na kulipwa maden yake.
Yule kalipwa ndio kaondoka.
Waziri wenu alisema hajalipwa! hadi wa leo hamjaleta ushahidi kupinga hilo... Alafu hakuondoka kwa hiari yake, Alifutwa kazi....
 
Waziri wenu alisema hajalipwa! hadi wa leo hamjaleta ushahidi kupinga hilo... Alafu hakuondoka kwa hiari yake, Alifutwa kazi....
Maneno ya wazir ni ya waziri.
Tuende na reality,unayafaham masharti ya kuvunja mkataba kaka???
Huwez ukavunja mkataba kiholela.
Kama tungemfukuza pasi na kumlima na ilhali tumevunja mkataba tungeshtakiwa sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…