Kocha wa Harambee stars aivimbia Kenya kwa sababu ya umasikini wa Kenya

Kocha wa Harambee stars aivimbia Kenya kwa sababu ya umasikini wa Kenya

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Wakati Tanzania ikifanya vile ipendavyo kutokana na uwezo wake mkubwa wa pesa, kama vile kuvunja mkataba na kocha wake Emmanuel Amunike na kumlipa pesa yake yote baada ya matokeo mabaya katika mashindano ya AFCON huko Misri, majirani zao wa Kenya inaonekana kutoweza kumfanya lolote kocha wao pamoja na matokeo mabovu ya AFCON na kutolewa na Taifa stars katika mashindani ya CHAN, huku kocha huyo akitoa maneno ya dharau kwa Kenya, kwamba haina uwezo wa kumtimua kwasababu Kenya ni masikini sana haiwezi kulipa gharama za kuvunja mkataba wake.

Huu ni muendelezo wa Kenya kushindwa kufanya maamuzi ya nchi yao kutokana na kukosa pesa yao ya ndani hivyo kutegemea pesa za mkopo, mambo yanayoifanya Kenya kudhalilishwa na wachina Mara kadhaa kama vile kuitwa "Nyani", kupewa msaada wa makopo ya bia katika jamii zinazokumbwa na njaa badala ya chakula, kuchapwa viboko wafanyakazi wakenya katika mradi wa SGR, na kunyimwa pesa ya kuifikisha SGR Malaba, badala yake kuishia porini.
 
Wakati Tanzania ikifanya vile ipendavyo kutokana na uwezo wake mkubwa wa pesa, kama vile kuvunja mkataba na kocha wake Emmanuel Amunike na kumlipa pesa yake yote baada ya matokeo mabaya katika mashindano ya AFCON huko Misri, majirani zao wa Kenya inaonekana kutoweza kumfanya lolote kocha wao pamoja na matokeo mabovu ya AFCON na kutolewa na Taifa stars katika mashindani ya CHAN, huku kocha huyo akitoa maneno ya dharau kwa Kenya, kwamba haina uwezo wa kumtimua kwasababu Kenya ni masikini sana haiwezi kulipa gharama za kuvunja mkataba wake.

Huu ni muendelezo wa Kenya kushindwa kufanya maamuzi ya nchi yao kutokana na kukosa pesa yao ya ndani hivyo kutegemea pesa za mkopo, mambo yanayoifanya Kenya kudhalilishwa na wachina Mara kadhaa kama vile kuitwa "Nyani", kupewa msaada wa makopo ya bia katika jamii zinazokumbwa na njaa badala ya chakula, kuchapwa viboko wafanyakazi wakenya katika mradi wa SGR, na kunyimwa pesa ya kuifikisha SGR Malaba, badala yake kuishia porini.
Umesahau ile ya kupewa container tupu la misaada (pen na calculators) kwa ajili ya bunge la Kenya.
 
Umesahau ile ya kupewa container tupu la misaada (pen na calculators) kwa ajili ya bunge la Kenya.
Hahahaha, kweli aisee, " but list is endless". Ila ninadhani kuna kila sababu kwa Magufuli kuwasaidia hawa jamaa, kiukweli wanekwama sana, walichobaki nacho ni kiburi na aibu ya kukubali kwamba nchi yao imekwama, wapo katika "Denial stage", japo wenye akili wameshaingia katika " Acceptance stage".
 
Wakati Tanzania ikifanya vile ipendavyo kutokana na uwezo wake mkubwa wa pesa, kama vile kuvunja mkataba na kocha wake Emmanuel Amunike na kumlipa pesa yake yote baada ya matokeo mabaya katika mashindano ya AFCON huko Misri, majirani zao wa Kenya inaonekana kutoweza kumfanya lolote kocha wao pamoja na matokeo mabovu ya AFCON na kutolewa na Taifa stars katika mashindani ya CHAN, huku kocha huyo akitoa maneno ya dharau kwa Kenya, kwamba haina uwezo wa kumtimua kwasababu Kenya ni masikini sana haiwezi kulipa gharama za kuvunja mkataba wake.

Huu ni muendelezo wa Kenya kushindwa kufanya maamuzi ya nchi yao kutokana na kukosa pesa yao ya ndani hivyo kutegemea pesa za mkopo, mambo yanayoifanya Kenya kudhalilishwa na wachina Mara kadhaa kama vile kuitwa "Nyani", kupewa msaada wa makopo ya bia katika jamii zinazokumbwa na njaa badala ya chakula, kuchapwa viboko wafanyakazi wakenya katika mradi wa SGR, na kunyimwa pesa ya kuifikisha SGR Malaba, badala yake kuishia porini.
Daah cjui wekenya wanakwama WAP wana export mafuta nje na watalii kila cku. Wanapishana kuingia kupanda Kilimanjaro na kununua tanzanite
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Wakati Tanzania ikifanya vile ipendavyo kutokana na uwezo wake mkubwa wa pesa, kama vile kuvunja mkataba na kocha wake Emmanuel Amunike na kumlipa pesa yake yote baada ya matokeo mabaya katika mashindano ya AFCON huko Misri, majirani zao wa Kenya inaonekana kutoweza kumfanya lolote kocha wao pamoja na matokeo mabovu ya AFCON na kutolewa na Taifa stars katika mashindani ya CHAN, huku kocha huyo akitoa maneno ya dharau kwa Kenya, kwamba haina uwezo wa kumtimua kwasababu Kenya ni masikini sana haiwezi kulipa gharama za kuvunja mkataba wake.

Huu ni muendelezo wa Kenya kushindwa kufanya maamuzi ya nchi yao kutokana na kukosa pesa yao ya ndani hivyo kutegemea pesa za mkopo, mambo yanayoifanya Kenya kudhalilishwa na wachina Mara kadhaa kama vile kuitwa "Nyani", kupewa msaada wa makopo ya bia katika jamii zinazokumbwa na njaa badala ya chakula, kuchapwa viboko wafanyakazi wakenya katika mradi wa SGR, na kunyimwa pesa ya kuifikisha SGR Malaba, badala yake kuishia porini.
Kama huyo kocha ni mzungu hao nyang'au hawatadiriki kumgusa.
 
"If the federation wants to fire me, let them fire me but again if paying my salary is an issue, will they manage to pay out my contract?"
Dah, dharau hizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati Tanzania ikifanya vile ipendavyo kutokana na uwezo wake mkubwa wa pesa, kama vile kuvunja mkataba na kocha wake Emmanuel Amunike na kumlipa pesa yake yote baada ya matokeo mabaya katika mashindano ya AFCON huko Misri, majirani zao wa Kenya inaonekana kutoweza kumfanya lolote kocha wao pamoja na matokeo mabovu ya AFCON na kutolewa na Taifa stars katika mashindani ya CHAN, huku kocha huyo akitoa maneno ya dharau kwa Kenya, kwamba haina uwezo wa kumtimua kwasababu Kenya ni masikini sana haiwezi kulipa gharama za kuvunja mkataba wake.

Huu ni muendelezo wa Kenya kushindwa kufanya maamuzi ya nchi yao kutokana na kukosa pesa yao ya ndani hivyo kutegemea pesa za mkopo, mambo yanayoifanya Kenya kudhalilishwa na wachina Mara kadhaa kama vile kuitwa "Nyani", kupewa msaada wa makopo ya bia katika jamii zinazokumbwa na njaa badala ya chakula, kuchapwa viboko wafanyakazi wakenya katika mradi wa SGR, na kunyimwa pesa ya kuifikisha SGR Malaba, badala yake kuishia porini.
Kila siku hua unafikia kiwango kipya Cha wazimu!!!!!



Kocha mlie mfuta kazi , mlikua hamjalipa kwa miezi mitatu , kama mko na hela mbona hamkua mnamlipa??? Ndo maana kule Afcon hamkushinda tiny yoyote ....



Unafaa uelewe kwamba huyo kocha wa Kenya pia hajalipwa mshahara, kwahivyo anasema kama FKF inashindwa kumlipa mshahara, itaweza kumlipa fine (ambayo ni kubwa kuliko huo mshahara) wakivunja kandarasi?

Sasa wewe umechukua hio story na kuongeza yako kama mwendawazimu Wakati huyo kocha wenu mliemfuta kazi Bado hamjalipa mshahara wake na tayari mlisha mfukuza na kuendeleza udikteta wenu...
 
Back
Top Bottom