Waziri wenu anasema hamkumlipa, let's ushahidi kama mlimlipa na si kunitungia story za vijiweni kama kawaida.......
Kabla huyu Migne, kocha aliemtangulia tulikfuta kabla kandarasi iishe na ikatulazimu tumlipe sh60m, Sasa FKF wakimfuta huyu tutamlipa Sh50m, labda Migne ameangalia historian ya makocha na anataka afutwe ili apewe hio Sh50m kwa mpigo... manake mwaka Jana Migne alikua anatishia kujihuzulu kama hatakua analipwa mshahara on time, Sasa eti amegeuza mwendo hataki kubanduka....
Mkuu wa FKF naye anajua akimfuta Migne na amlipe hio Sh50m, yeye ndo atakua next kufutwa kwa kupoteza zaidi ya sh100m pesa za walipa Kodi kwakutuletea makocha ambao hawakuleta tofauti yoyote...
Previous two coaches wote waliofutwa kabla contract iishe
Football Kenya Federation (FKF) will be forced to cough Sh50 million to Harambee Stars coach Sebastian Migne in the event they terminate his contract, Nairobi News understands.
allafrica.com
----------
Migne signed a three-year contract in May 2018, which binds him to qualify the senior national team for the 2021 Africa Cup of Nations.
FKF meanwhile will have to be wary of how they deal with Migne, considering they have in recent times been forced to pay former coach Adel Amrouche close to Sh60 million for unfair dismissal. Another case involving former coach Bobby Williamson is still in the courts.