SAWA ALITOROKA....!!! KABLA YA KUTOROKA ALIKUWA SIMBA AU YANGA...????
alitoroka boss hakuuzwa alienda kweli south kwa kutoroka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alitoroka boss hakuuzwa alienda kweli south kwa kutoroka
Suala ni kuwa alikuwa mchezaji wa Yanga au kutoroka? Tunachozungumzia hapa ni kuwa ni mchezaji gani alicheza Ulaya akitokea Timu ya Yanga!alitoroka boss hakuuzwa alienda kweli south kwa kutoroka
Anaondokaje Afrika akiwa Yanga? Wachezaji wanaotoka Simba ndio huondoka Afrika.
Nonda Shaban PappiiSuala ni kuwa alikuwa mchezaji wa Yanga au kutoroka? Tunachozungumzia hapa ni kuwa ni mchezaji gani alicheza Ulaya akitokea Timu ya Yanga!
Suala ni kuwa alikuwa mchezaji wa Yanga au kutoroka? Tunachozungumzia hapa ni kuwa ni mchezaji gani alicheza Ulaya akitokea Timu ya Yanga!
suala ni kwamba yanga huwa haina tabia ya kuachia wachezaji kwenda nje,refre tegete issue ya sweden na lunyamila issue ya fc colgne msuva ndo wa kwanza kuuzwa ba yangaSuala ni kuwa alikuwa mchezaji wa Yanga au kutoroka? Tunachozungumzia hapa ni kuwa ni mchezaji gani alicheza Ulaya akitokea Timu ya Yanga!
Samatta alikimbia sioalitoroka boss hakuuzwa alienda kweli south kwa kutoroka
unaongea nini sasa? tunaongelea issue ya nonda ya 1996 sio samattaSamatta alikimbia sio
international Transfer Clearance (ITC) ilitoka Yanga..unasemaje alitoroka??Born in Bujumbura, Burundi, Nonda began his career at Atlético Olympic[1] in 1992. After playing in Tanzania with Young Africans and in South Africa with Vaal Professionals, he was discovered by FIFA agent Marcelo Houseman who then placed Nonda in Switzerland with FC Zürich in 1996 ..unaongea nini sasa? tunaongelea issue ya nonda ya 1996 sio samatta
wikipedia hiyo hata wewe una edit sasa hivi,lakini mbona we mbishi sana?AU NI EDIT HAPO FIFA AGENT NIWEKE BERNAD MEMBE? ITC YAKE ALICHUKULIA CONGO SIO TANZANIA,MIAKA ILE KUFANYA FORGERY ZA KIJINGA ILIKUWA RAHISI KIDOGO, UNA MIAKA MINGAPI?NAKUPA KIPANDE KIDOGO CHA STORY YA BAKARI MALIMA ALIYETOROKA NA NONDA PAPII AMBAYE HAPA ALIKUWA ANACHUKULIWA KAAMA MBURUNDI BAADAYE TUKASIKIA NI MCONGOinternational Transfer Clearance (ITC) ilitoka Yanga..unasemaje alitoroka??Born in Bujumbura, Burundi, Nonda began his career at Atlético Olympic[1] in 1992. After playing in Tanzania with Young Africans and in South Africa with Vaal Professionals, he was discovered by FIFA agent Marcelo Houseman who then placed Nonda in Switzerland with FC Zürich in 1996 ..
hiyo Wikipedia sio maneno yangu
international Transfer Clearance (ITC) ilitoka Yanga..unasemaje alitoroka??Born in Bujumbura, Burundi, Nonda began his career at Atlético Olympic[1] in 1992. After playing in Tanzania with Young Africans and in South Africa with Vaal Professionals, he was discovered by FIFA agent Marcelo Houseman who then placed Nonda in Switzerland with FC Zürich in 1996 ..
hiyo Wikipedia sio maneno yangu
We ndo kiazi kabisa.Mrisho Ngasa.
Hivi Nonda Shaabani alitokea Simba?Anaondokaje Afrika akiwa Yanga? Wachezaji wanaotoka Simba ndio huondoka Afrika.
Ahsante kwa muono sahihi mkuu.Hili ndo tatizo letu, leo Feisal anapewa sifa asizostahili, matokeo yake atabweteka na atashindwa kufikia malengo(kama anayo).Sidhani kama huyu Kijana anastahili Sifa hizi kwani bado hata hajafiki 15% ya uwezo walionao Wachezaji wengi mahiri wa Viungo Tanzania.
SureYanga walimuuza Vaal professionals ya South Afrika pamoja na Bakari Malima ..yaliyotokea history
Exactly... Wanaotaka wapite kwa kuzunguka.Shaaban Nonda(Vaal Professional-South Africa) na Mbwana Samatta(TP Mazembe-Congo DRC).Tatizo huku kwetu kaka chanel ni ndogo sana,.. angalau basi wangekuwa wanaenda hata Sudan,South,Morocco n.k lkn hata huko tu napo inakuwa ngumu, sasa ulaya si ndio BIKO kabisa.
Anachezea timu gani huyo MKUNDE?(Copied from your post).Mkunde anaomba Fei toto aondoke maana kafichwa
SamattaAnaondokaje Afrika akiwa Yanga? Wachezaji wanaotoka Simba ndio huondoka Afrika.