Kocha wa timu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini Rhulani Mokwena amemfuata (Follow) Rais wa Yanga SC Hersi Said @caamil_88 na CEO wa Manara TV, @hajismanara katika ukurasa wake wa Instagram...
Uyo kocha atam-unfollow manara siku sio nyingi maana uko atakutana na post za mipasho na habari za zaylisa tuKocha wa timu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini Rhulani Mokwena amemfuata (Follow) Rais wa Yanga SC Hersi Said @caamil_88 na CEO wa Manara TV, @hajismanara katika ukurasa wake wa Instagram...
Unazani Kwann kamfollow hers na si try again [emoji23]Mkuu ujitahidi basi kuchuja vitu vya kupost, yaani kum follow mtu ndio iwe kitu cha ajabu kwani kocha wa Mamelodi ni malaika sio mtu wa kawaida? Halafu Hersi Saidi ni kiongozi wa vilabu kwa Africa ni mwenyekiti wa ACA
Timu ya 5 kwa ubora Afrika inaachaje kujulikana? Timu yenu ingejulikana si ingecheza AFL toleo la kwanza?Hapana mkuu....but ita symbolize kuwa Simba ni haijulikan
So what!!hii nayo ni habari?!!Kocha wa timu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini Rhulani Mokwena amemfuata (Follow) Rais wa Yanga SC Hersi Said @caamil_88 na CEO wa Manara TV, @hajismanara katika ukurasa wake wa Instagram...
Ikaishia wapi?Timu ya 5 kwa ubora Afrika inaachaje kujulikana? Timu yenu ingejulikana si ingecheza AFL toleo la kwanza?
Hoja ni kujulikana kwa Simba ndio maana imeshiriki, timu Utopolo kwa vile haijulikani ilimtuma Mwana FA akawaombee nafasi ya kushiriki, walipokataliwa wakadai ni mashindano ya upinde. Tuone kama msimu ujao hawatashiriki mashindano ya " upinde"Ikaishia wapi?
huyo ni kocha makini sanaKocha wa timu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini Rhulani Mokwena amemfuata (Follow) Rais wa Yanga SC Hersi Said @caamil_88 na CEO wa Manara TV, @hajismanara katika ukurasa wake wa Instagram.
Kocha huyo aliyekuja na kikosi chake hivi karibuni kucheza na @yangasc nchini Tanzania amewafuata baadhi ya watu wengine nchini wanaofuatilia mchezo wa soka.
Watu wengine waliofuatwa na kocha huyo ni Mwandishi wa Manara TV, @therealbertha2 , pamoja na waandishi wengine @hasheem_ibwe , @abissay_stephen na @irene_kilango09 ambao wako katika vyombo tofauti.
Nb... mangungu na try again....hawafahamiki
#ManaraTvUpdate
#ManaraTvView attachment 2966237