Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kocha wa timu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini Rhulani Mokwena amemfuata (Follow) Rais wa Yanga SC Hersi Said @caamil_88 na CEO wa Manara TV, @hajismanara katika ukurasa wake wa Instagram.
Kocha huyo aliyekuja na kikosi chake hivi karibuni kucheza na @yangasc nchini Tanzania amewafuata baadhi ya watu wengine nchini wanaofuatilia mchezo wa soka.
Watu wengine waliofuatwa na kocha huyo ni Mwandishi wa Manara TV, @therealbertha2 , pamoja na waandishi wengine @hasheem_ibwe , @abissay_stephen na @irene_kilango09 ambao wako katika vyombo tofauti.
Nb... mangungu na try again....hawafahamiki
#ManaraTvUpdate
#ManaraTv
Kocha huyo aliyekuja na kikosi chake hivi karibuni kucheza na @yangasc nchini Tanzania amewafuata baadhi ya watu wengine nchini wanaofuatilia mchezo wa soka.
Watu wengine waliofuatwa na kocha huyo ni Mwandishi wa Manara TV, @therealbertha2 , pamoja na waandishi wengine @hasheem_ibwe , @abissay_stephen na @irene_kilango09 ambao wako katika vyombo tofauti.
Nb... mangungu na try again....hawafahamiki
#ManaraTvUpdate
#ManaraTv