Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hebu shika adabu yako jamaa ana ndoo ya UEFA champions league akiichezea FC Porto, kabeba ubingwa wa uholanz na ajax amsterdam....n.kUkiachana na kucheza ligi kuu ya Uingereza na timu ya Blackburn mpaka akataka kusajiliwa Chelsea. Huko alikotoka amefanya nini cha maana katika profile ya ukocha mpaka tuanze kupapatika na makocha kama huyu unayemuita mwenye CV kubwa.
Nimeona heading nikajua ni Amorim au solskjaerView attachment 3249028
Shirikisho la soka nchini Kenya[FKF] linatarajia kumtangaza Benni Mccathy kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Kenya (Harambee Stars) mapema wiki hii.
Mccarthy alikuwa nyota wa zamani wa kimataifa wa Afrika kusini na aliwahi kuzitumikia klabu kadhaa kama kocha mkuu kama vile Amazulu,Capetown city,Manchester united(kocha wa washambuliaji) na Sinti Tuiden kama kocha msaidizi.
Tanzania Tunakwama wapi kutafuta kocha mwenye CV nzito?
HahaNimeona heading nikajua ni Amorim au solskjaer
Nilishtuka sanaHaha
AlrightAvram Grant alikua kocha wa Chelsea na ndio aloifikisha timu ya Chelsea fainali na UCL mwaka 2008 wakafungwa na Man Utd kwa penalty baada mechi kuisha 1-1 dakika 90.
Mkuu bado haishtui kitu. Ni kocha wa kawaida sana hata career yakeWewe hebu shika adabu yako jamaa ana ndoo ya UEFA champions league akiichezea FC Porto, kabeba ubingwa wa uholanz na ajax amsterdam....n.k
AiseeeMkuu bado haishtui kitu. Ni kocha wa kawaida sana hata career yake
Familia ya soka dunia nzima inamtambua huyu mwamba isipokuwa wewe tuuMkuu bado haishtui kitu. Ni kocha wa kawaida sana hata career yake
Ninamtambua ila siyo kama ambavyo unataka kushtua watu hapa kwa career yake ya kawaidaFamilia ya soka dunia nzima inamtambua huyu mwamba isipokuwa wewe tuu