Kocha wa MAN U kuifundisha Harambee stars

Kocha wa MAN U kuifundisha Harambee stars

Benny hata alipokuwa mchezaji Man u alikuwa tia maji tia maji
 
Ukiachana na kucheza ligi kuu ya Uingereza na timu ya Blackburn mpaka akataka kusajiliwa Chelsea. Huko alikotoka amefanya nini cha maana katika profile ya ukocha mpaka tuanze kupapatika na makocha kama huyu unayemuita mwenye CV kubwa.
Wewe hebu shika adabu yako jamaa ana ndoo ya UEFA champions league akiichezea FC Porto, kabeba ubingwa wa uholanz na ajax amsterdam....n.k
 
View attachment 3249028
Shirikisho la soka nchini Kenya[FKF] linatarajia kumtangaza Benni Mccathy kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Kenya (Harambee Stars) mapema wiki hii.

Mccarthy alikuwa nyota wa zamani wa kimataifa wa Afrika kusini na aliwahi kuzitumikia klabu kadhaa kama kocha mkuu kama vile Amazulu,Capetown city,Manchester united(kocha wa washambuliaji) na Sinti Tuiden kama kocha msaidizi.

Tanzania Tunakwama wapi kutafuta kocha mwenye CV nzito?
Nimeona heading nikajua ni Amorim au solskjaer
 
Back
Top Bottom