Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Unaweza kuwa na timu Bora lakini rekodi mbaya za Kocha dhidi ya timu pinzani zikakuangusha.
Dylan Kerr hajawahi kuifunga Yanga SC. Msimu wa 2015/2016 akiwa Simba SC, Mchezo wa kwanza kafa 2-0, Mchezo wa pili kafa 2-0.
Jana akiwa Marumo 2-0.
Mweeeh!
Dylan Kerr hajawahi kuifunga Yanga SC. Msimu wa 2015/2016 akiwa Simba SC, Mchezo wa kwanza kafa 2-0, Mchezo wa pili kafa 2-0.
Jana akiwa Marumo 2-0.
Mweeeh!