Bagabeach JF-Expert Member Joined Jun 30, 2021 Posts 1,124 Reaction score 2,369 Dec 7, 2023 #21 nyanda madirisha said: Akikujibu nitag mkuu Click to expand... Akutag nini??? Ukweli wazi yanga ana style of playing nzuri, km mamelod Msimu uliopita simba match 2 za kwanza tulikuwa na point 0, lkn simba alipita Haizuii yanga kufika robo mpk semi final. GUINNESS everything is possible
nyanda madirisha said: Akikujibu nitag mkuu Click to expand... Akutag nini??? Ukweli wazi yanga ana style of playing nzuri, km mamelod Msimu uliopita simba match 2 za kwanza tulikuwa na point 0, lkn simba alipita Haizuii yanga kufika robo mpk semi final. GUINNESS everything is possible
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Dec 7, 2023 #22 Mr specelist said: 🤣🤣 utopongo huwa yanaingia uwanjan kama mang'ombe yananza kukimbia kimbia bla mpango Click to expand... Vipi ukiingia kwenye mfumo wao!! 😁 ✋
Mr specelist said: 🤣🤣 utopongo huwa yanaingia uwanjan kama mang'ombe yananza kukimbia kimbia bla mpango Click to expand... Vipi ukiingia kwenye mfumo wao!! 😁 ✋
Dabil JF-Expert Member Joined Sep 30, 2021 Posts 6,823 Reaction score 15,293 Dec 9, 2023 #23 Nacheka kama mazuri Sent using Jamii Forums mobile app