Kocha wa Namungo wakati anafanya press baada ya kumaliza game yao dhidi ya Simba wameeleza kwanini walikaa nje ya dress room kipindi wameenda kupumzika baada ya first half.
kocha wa Namungo akafunguka Kama ifuatavyo tuliingia kwenye dress room tukakuta hewa sio nzuri na Wala haiyeleweki tukabidi tutoke nje kwa hiyo maelekezo ya mbinu kwa wachezaji wangu tulitoa nje ya dress room na tukaa hapo mpaka muda wetu ulipoisha wa mapumziko.
kocha wa Namungo akafunguka Kama ifuatavyo tuliingia kwenye dress room tukakuta hewa sio nzuri na Wala haiyeleweki tukabidi tutoke nje kwa hiyo maelekezo ya mbinu kwa wachezaji wangu tulitoa nje ya dress room na tukaa hapo mpaka muda wetu ulipoisha wa mapumziko.