Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kifupi ni kwamba mpira wa Tanzania upo corrupted... unaendeshwa na genge la wahuni...Mpira wa Tanzania unaponishindaga ni hapa tu. Allegetions zisizoweza kuthibitishwa kwa njia yoyote ile zimekuwa zikivumishwa kila siku. Mara dawa imepulizwa vyumbani, lakini hakuna uchunguzi unaofanyika.
Kama kweli hiyo hali ilikuwepo je kwenye match report kamisaa ali include hilp swala ili lifanyiwe kazi?
Imani za kishirikina, mara irizi mana sijui cheni kila siku ni upuuzi tu. Team fulani ikishinda basi wapinzani wataanza kulalamika mara wamelogwa mara wamewekewa dawa mara refa kawabeba. Hakuna anaekubali kufungwa.
Kwanini haya mambo hatuyasikii kwa wenzetu? Mbona wenzetu wakifungwa wanakubali?
Utterly stupid.
uYMatamshi ya aina hii ni kashifa kwa timu wanayocheza nayo, na pia kwa uongozi wa uwanja. Kuyakomesha ni kutoa adhabu Kali kwa wahusika, ama wanaotoa habari ikibainika ni za uongo baada ya uchunguzi wa chemicals, au uongozi wa uwanja kwani Kama ni kweli wenye nafasi kubwa ya kufanikisha hili ni wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hawa Mikia wamekamata nchi kiasi wanafanya watakayo?
Wanapewa magoli ya offside na bado vyumba wanapuliza dawa. Kuna haja timu wahanga wa kupuliziwa dawa wakaindikia CAF/FIFA maana kutegemea watu wa Simba (Karia na Kidau) ku solve hili ni ndoto ya mchana.
Hicho chumba kilitumiwa na simba sasa simba walijipulizia dawa wenyewe?What is absolute nonsense is this:
View attachment 1341245
turia au tulia. Utakuwa Mura wewe!