Kocha wa Namungo amelalamika dress room yao kupuliziwa hewa mbaya

Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.
 
kifupi ni kwamba mpira wa Tanzania upo corrupted... unaendeshwa na genge la wahuni...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uY

yule aliyesema Morrison ni takataka vipi? Na aliyesema yanga ni sawa na mgonjwa na unachagua sehemu ya mwili kumchoma sindano vipi?
 
Sisi ndio wenye nchi wewe..turia kaa kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…