Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kocha Mkuu Wa pyramids FC Krunoslav Jurcic [emoji1082] ameuambia Uongozi wa Pyramids kuwa ana malengo makubwa na Fiston mayele na kama watamuuza basi yeye pia ataondoka ndani ya Timu hiyo
Familia ya Kaizer Motaung ambayo ndiyo wamiliki Wa Kaizer chief walituma offer Pyramids ya Tsh Billion 6.4 kumwitaji Mshambuliaji Huyo lakini offar Yao aikujadiliwa.
Mayele amebakiza mwaka Mmoja pekee Ndani ya Timu hiyo akiwa Amefunga Magoli zaidi ya 20 kwenye mashindano yote ndani ya mwaka Msimu mmoja.
Soma Pia: Fiston Mayele kutua Kaizer Chiefs
NB: Now tumeukubali ubora wa ligi ya bongo .....as well as ubora wa Yanga as a bridge to mafanikio ya wachezaji
Familia ya Kaizer Motaung ambayo ndiyo wamiliki Wa Kaizer chief walituma offer Pyramids ya Tsh Billion 6.4 kumwitaji Mshambuliaji Huyo lakini offar Yao aikujadiliwa.
Mayele amebakiza mwaka Mmoja pekee Ndani ya Timu hiyo akiwa Amefunga Magoli zaidi ya 20 kwenye mashindano yote ndani ya mwaka Msimu mmoja.
Soma Pia: Fiston Mayele kutua Kaizer Chiefs
NB: Now tumeukubali ubora wa ligi ya bongo .....as well as ubora wa Yanga as a bridge to mafanikio ya wachezaji