Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Soka la Bongo, tunalijua wabongoHivi yule kocha kufanya udhalilishaji ule alikuwa ana maana gani ? hata kama hamtaki Wawa lakini si kwa unyama aliofanya...
Kwani kufadhili soka ndio kujua soka. Wanaojua soka wanafadhili kukuza vipaji vya soka wengine hawa wanataka mileage pana ya kujitangaza kibiashara tuu. GSM anajulia wapi soka? Msome huyo hapo kwa hsaidizi kidogo[emoji116][emoji116][emoji116]Kama yale yaliyofanyika ni ya haki basi kweli mimi ni empty , bali itakuwa maajabu sana kwa Mimi mfadhili wa simba kutokujua soka ila kapuku kawoli ndiye ajue !
jamaa kakurupuka sanaKwani kufadhili soka ndio kujua soka. Wanaojua soka wanafadhili kukuza vipaji vya soka wengine hawa wanataka mileage pana ya kujitangaza kibiashara tuu. GSM anajulia wapi soka? Msome huyo hapo kwa hsaidizi kidogo[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2056186
Hivi lile linahitaji kusoma mahali ? mbona mnataka kutufanya wajinga kiasi hicho ?nenda kwenye official page ya simba yako maelezo ya kocha ilikuwaje
pia pitia nyuzi mbali mbali kwenye jukwaa la michezo kuna wadau wamefafanua vizuri
acha ukurupukaji
uliwahi kuona kocha yeyote akifanya utopolo wa huyu kocha mahali popote , hivi huyu kocha ni mzima kweli ?Kwani kufadhili soka ndio kujua soka. Wanaojua soka wanafadhili kukuza vipaji vya soka wengine hawa wanataka mileage pana ya kujitangaza kibiashara tuu. GSM anajulia wapi soka? Msome huyo hapo kwa hsaidizi kidogo[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2056186
Ni udhalilishaji mkubwa sana ule, japo wahusika wanajaribu kufunika kombe mwanaharamu apiteHivi lile linahitaji kusoma mahali ? mbona mnataka kutufanya wajinga kiasi hicho ?
We jamaa uwe mwelewa sehemu ya reasoning usitumie hisiaHivi lile linahitaji kusoma mahali ? mbona mnataka kutufanya wajinga kiasi hicho ?
Udhalilishaji kwani alimvua bukta?Ni udhalilishaji mkubwa sana ule, japo wahusika wanajaribu kufunika kombe mwanaharamu apite
Kama unaamini udhalilishaji ni kuvuliwa bukta tu basi tupo na level tofauti kabisa ya kupambanua mambo.Udhalilishaji kwani alimvua bukta?
Mkuu mo dewj heshima yako, ahsante kwa ufadhili wakoKama yale yaliyofanyika ni ya haki basi kweli mimi ni empty , bali itakuwa maajabu sana kwa Mimi mfadhili wa simba kutokujua soka ila kapuku kawoli ndiye ajue !
Unahisi kila mtu anajua alichofanyiwa wawa?Kama yale yaliyofanyika ni ya haki basi kweli mimi ni empty , bali itakuwa maajabu sana kwa Mimi mfadhili wa simba kutokujua soka ila kapuku kawoli ndiye ajue !
Hivi lile linahitaji ufafanuzi wa mkosaji kweli ? mbona mnatia aibu !Pablo ameifafanua vizuri hii... Tatizo la kuupenda mchezo halafu hujui kanuni na sheria zake