Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hivi yule kocha kufanya udhalilishaji ule alikuwa ana maana gani ? Hata kama hamtaki Wawa lakini si kwa unyama aliofanya.
Kiukweli nikiri kwamba jambo kama hili sijawahi kuliona kwenye soka, ni aibu sana.
Kiukweli nikiri kwamba jambo kama hili sijawahi kuliona kwenye soka, ni aibu sana.