Kocha wa Simba amewakataa wachezaji 5 wapya

Hawatakuelewa Ila Kuna jamaa yangu yupo TRA aliniambia Kama ulivyosemw wewe
 
Kozi?

Ebu kua na utu wewe Aganile si umeenda kubeba box botswana wewe
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Kanchi kale nikabebe box kweli? Si bora niuze matunda South Africa?? Maana matunda yanalipa sana
 
Propoganda iliyochanganyikana na harufu ya kinyesi kilichopo kwenye chupi ndiyo hii sasa.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mbona Phili alicheza? Acheni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…