Kocha wa Simba apunguze ujuaji, haijui Simba

Kocha wa Simba apunguze ujuaji, haijui Simba

Trump Jr

Member
Joined
Jan 19, 2017
Posts
26
Reaction score
35
Bwana Zoran anatumia muda mwingi kuwaaminisha viongozi wa Simba SC pamoja na mamilioni ya mashabiki mtaa wa Msimbazi kwamba striker Dejan ni bonge la striker wa kutumainiwa katika kikosi cha Msimbazi msimu huu.

Mpaka sasa, Dejan ameonesha uwezo sawa na wachezaji wetu wa ndani, kama bado anakitu cha kutuonesha labda tumpe muda wa ziada lakini kwa sasa tunaweza kusema ni mchezaji wa kawaida kabisa.

Harufu ya ubaguzi ndani ya kikosi cha Simba inanukia, Zoran anawapiga benchi wachezaji waliotamba msimu uliopita kwa mfano Akpan, lakini na wachezaji nao wakiwa uwanjani utaona hawampatii pasi nzuri Dejan ili lengo la Zoran litimie, kuna muda tunashindwa kujaji uwezo wa Dejan kwa ushahidi wa asilimia 100 kwani kwenye maeneo ya nafasi za wazi bado Dejan hapewi pasi za mwisho nzuri.

SIMBA SPORTS CLUB WAKE-UP!
 
Hata goli alilofunga alikuwa kwenye eneo zuri sana lakini hakupewa pasi, lile goli alijitafutia mwenyewe.

mechi ya jana alikuwa anafungua vizuri sana lakini mtoa pasi za mwisho alikuwa anachagua kuelekeza mpira ambako kulikuwa na wapinzani wengi na uwezekano wa kufunga ukiwa mdogo.
 
Bwana Zoran anatumia muda mwingi kuwaaminisha viongozi wa Simba SC pamoja na mamilioni ya mashabiki mtaa wa Msimbazi kwamba striker Dejan ni bonge la striker wa kutumainiwa katika kikosi cha Msimbazi msimu huu.

Mpaka sasa, Dejan ameonesha uwezo sawa na wachezaji wetu wa ndani, kama bado anakitu cha kutuonesha labda tumpe muda wa ziada lakini kwa sasa tunaweza kusema ni mchezaji wa kawaida kabisa.

Harufu ya ubaguzi ndani ya kikosi cha Simba inanukia, Zoran anawapiga benchi wachezaji waliotamba msimu uliopita kwa mfano Akpan, lakini na wachezaji nao wakiwa uwanjani utaona hawampatii pasi nzuri Dejan ili lengo la Zoran litimie, kuna muda tunashindwa kujaji uwezo wa Dejan kwa ushahidi wa asilimia 100 kwani kwenye maeneo ya nafasi za wazi bado Dejan hapewi pasi za mwisho nzuri.

SIMBA SPORTS CLUB WAKE-UP!
Kwamba Dejan ni Kibu Denis mweupe?
 
Kocha wa Simba hatamaliza nusu msimu,kikosi Ina Manula ,Inonga,Outtara ,Kapombe,shabalala,chama ,mkude ,Kanuti ,okwa,okrah ,Sakho, Phiri ,Onyango ,Kanuti ,..hawa wachezaji ni first 11 ya uhakika ,nini anachotafuta kingine kama siyo ufala? Anahangaika na mwinuke ,mzungu mwenzake , very stupid
 
Kocha wa Simba hatamaliza nusu msimu,kikosi Ina Manula ,Inonga,Outtara ,Kapombe,shabalala,chama ,mkude ,Kanuti ,okwa,okrah ,Sakho, Phiri ,Onyango ,Kanuti ,..hawa wachezaji ni first 11 ya uhakika ,nini anachotafuta kingine kama siyo ufala? Anahangaika na mwinuke ,mzungu mwenzake , very stupid
Nafikiri ametuchukulia poa sana Watanzania, anaamini yeye ndiyo kocha pekee na akisema Dejan ni striker basi tukubali, akisema simtaki Mugalu na Akpan basi wote tukubali, hii siyo sawa.
 
Sasa nyie mnaongoza ligi afu mnalalamika nyie, tuwaeleweje?[emoji1787]
 
Kocha wa Simba hatamaliza nusu msimu,kikosi Ina Manula ,Inonga,Outtara ,Kapombe,shabalala,chama ,mkude ,Kanuti ,okwa,okrah ,Sakho, Phiri ,Onyango ,Kanuti ,..hawa wachezaji ni first 11 ya uhakika ,nini anachotafuta kingine kama siyo ufala? Anahangaika na mwinuke ,mzungu mwenzake , very stupid
Ona hili jamaa. Halijui kuwa kuna wachezaji walibaki nchini tena 9 kwa ajili ya Taifa stars. Simba kuwa na shabiki andazi kama wewe ni bahati mbaya sana.
 
Ona hili jamaa. Halijui kuwa kuna wachezaji walibaki nchini tena 9 kwa ajili ya Taifa stars. Simba kuwa na shabiki andazi kama wewe ni bahati mbaya sana.
mi nimezungumzia general kwamba kwa wachezaji niliotaja hapo anakosaje first 11? Siyo mechi Yaa Al Hilal tu hadi na ile ya Yanga,na kakaa na timu Egypt kwenye pre season. Siyo unadandia treni kwa mbele utapigwa pumbu nzito ! SHWAIN
 
Bwana Zoran anatumia muda mwingi kuwaaminisha viongozi wa Simba SC pamoja na mamilioni ya mashabiki mtaa wa Msimbazi kwamba striker Dejan ni bonge la striker wa kutumainiwa katika kikosi cha Msimbazi msimu huu.

Mpaka sasa, Dejan ameonesha uwezo sawa na wachezaji wetu wa ndani, kama bado anakitu cha kutuonesha labda tumpe muda wa ziada lakini kwa sasa tunaweza kusema ni mchezaji wa kawaida kabisa.

Harufu ya ubaguzi ndani ya kikosi cha Simba inanukia, Zoran anawapiga benchi wachezaji waliotamba msimu uliopita kwa mfano Akpan, lakini na wachezaji nao wakiwa uwanjani utaona hawampatii pasi nzuri Dejan ili lengo la Zoran litimie, kuna muda tunashindwa kujaji uwezo wa Dejan kwa ushahidi wa asilimia 100 kwani kwenye maeneo ya nafasi za wazi bado Dejan hapewi pasi za mwisho nzuri.

SIMBA SPORTS CLUB WAKE-UP!
Labda wenzake washamjua, ni mwepesi kupoteza mipira, kwa hiyo inakuwa ngumu kumpa pasi ili ipotee.
 
Back
Top Bottom