ndiyo maana hili li tim haliwezi endelea hata siku moja, ukisikia limeshinda kaa ukijua wamenunua refa au tim pinzan au sumu ya kutosha imepulizwa vyumbani, yaani hawana lolote uwanjani ndiyo maana kila leo ni kutimua makocha tuu, makocha wanaowafaa ni akina 'matolaa'
Mkuu kumbe kwenye soka bado akili zako zinafanya kazi....!😁😁Alafu wewe utopolo fc ukome kumuita kocha wa Simba Sports Club kuku kushingo.
Siku Chura FC mkija kuchukua ubingwa wa TPL mbona tutakoma aisee! Yaani Lunyasi kutoka sare tu na timu iliyowapapasa nyie imekua shangwe kubwa sana pale kwenye Jangwa la kulimia mpunga na nyanya🤣🤣🤣Mi nipo kusubiria zile points 100 tu tulizoahidiwa na Msemaji wetu.
CC. Mikia wenzangu 😎
Sesten Zakazaka
Troisième Ceil
Penison
🏃♂️🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️
Tatizo m d o m o wenu.Siku Chura FC mkija kuchukua ubingwa wa TPL mbona tutakoma aisee! Yaani Lunyasi kutoka sare tu na timu iliyowapapasa nyie imekua shangwe kubwa sana pale kwenye Jangwa la kulimia mpunga na nyanya🤣🤣🤣
Hivi Morrison yuko wapi Shedeeya? Samahani lakini nje ya mada kidogo hii🏃♂️🏃♂️🏃♂️Tatizo m d o m o wenu.
Kumbe mnamkubali eeee?Hivi Morrison yuko wapi Shedeeya? Samahani lakini nje ya mada kidogo hii🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Na hapo hawajapoteza mechi hiyo ni sare tu.Mashabiki wa simba wengi wenu sijuagi mko vipi maana subra hamnaga
Sikusikii vizuri Shadeeya mtandao unakata kata sana nikikaa sehemu nzuri nitakupigia.😝😝😀🐸🐸Mi nipo kusubiria zile points 100 tu tulizoahidiwa na Msemaji wetu.
CC. Mikia wenzangu 😎
Sesten Zakazaka
Troisième Ceil
Penison
🏃♂️🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️
Ila kwa nini hatuna Subra 😉 yaani kisa tumeduroo tu tayari kocha hatumtaki. LolSikusikii vizuri Shadeeya mtandao unakata kata sana nikikaa sehemu nzuri nitakupigia.😝😝😀🐸🐸
Barikiwa sana mkuu nimecheka mno.Huko kwao wanashangaa ni lini jamaa kaanza kuwa kocha wakati alikuwa muuza matunda
Huyo asiyemtaka kocha sababu timu imedroo ni shabiki OYA OYA.Ila kwa nini hatuna Subra 😉 yaani kisa tumeduroo tu tayari kocha hatumtaki. Lol
Hahahaaa. Lol.Huyo asiyemtaka kocha sababu timu imedroo ni shabiki OYA OYA.