Kocha wa Simba atimuliwe

Kocha wa Simba atimuliwe

Hata yule kocha wa,kongo pia alitimuliwa simba
ndiyo maana hili li tim haliwezi endelea hata siku moja, ukisikia limeshinda kaa ukijua wamenunua refa au tim pinzan au sumu ya kutosha imepulizwa vyumbani, yaani hawana lolote uwanjani ndiyo maana kila leo ni kutimua makocha tuu, makocha wanaowafaa ni akina 'matolaa'
 
Simba timu ya kawaida ni yule Msomali anawabeba tu..ila sasa Takukuru wanaenda viwanjani mtazoea tu mikia nyie
 
Mi nipo kusubiria zile points 100 tu tulizoahidiwa na Msemaji wetu.

CC. Mikia wenzangu 😎
Sesten Zakazaka
Troisième Ceil
Penison

🏃‍♂️🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️
Siku Chura FC mkija kuchukua ubingwa wa TPL mbona tutakoma aisee! Yaani Lunyasi kutoka sare tu na timu iliyowapapasa nyie imekua shangwe kubwa sana pale kwenye Jangwa la kulimia mpunga na nyanya🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom