Unaongea na Mimi, kocha au TFFRatiba isiyoeleweka? Unaumwa wazimu wewe sio bure. Wakati mechi zenu zinarushwa rushwa na kusogezwa mbele ndio ilikuwa haieleweki, kwa sasa ipo very clear...kazi kwenu. Au mnataka ligi ichezwe hadi mwezi wa 9 kuwapa fadhila nyingine?
Tff ni dhaifuSisi mwezi wa sita tutakuwa AFCoN, kama huyo mandevu wenu anataka ligi iishe mwenzi July atakuwa ana matatzo ya akili. Liverpool Yuko UEfa hana kiporo.
Man City Yuko FA na UEfa kwenye ligi ana kiporo kmoja!
Simba imeshatolewa ligi ya mabingwa Afrika halafu viporo zaid ya saba.
Imagine simba angekuwa na kwenye kombe la FA, viporo vingekuwa zaid ya kumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha ana kosa gani? Hizi lawama anapaswa zipelekwe TFF kocha anatetea mazingira yake ya kufanyika kaziSisi mwezi wa sita tutakuwa AFCoN, kama huyo mandevu wenu anataka ligi iishe mwenzi July atakuwa ana matatzo ya akili. Liverpool Yuko UEfa hana kiporo.
Man City Yuko FA na UEfa kwenye ligi ana kiporo kmoja!
Simba imeshatolewa ligi ya mabingwa Afrika halafu viporo zaid ya saba.
Imagine simba angekuwa na kwenye kombe la FA, viporo vingekuwa zaid ya kumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo uongozi wenu uliokuwa unaomba mechi zisogezwe mbele yy alikuwa wapi?Kocha ana kosa gani? Hizi lawama anapaswa zipelekwe TFF kocha anatetea mazingira yake ya kufanyika kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama vipi wajigawe simba A na BRatiba isiyoeleweka? Unaumwa wazimu wewe sio bure. Wakati mechi zenu zinarushwa rushwa na kusogezwa mbele ndio ilikuwa haieleweki, kwa sasa ipo very clear...kazi kwenu. Au mnataka ligi ichezwe hadi mwezi wa 9 kuwapa fadhila nyingine?