brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Kocha wa Simba kupitia mtandao wa Twitter ameonyesha kushangazwa na ratiba ya TPL isiyozingatia afya za wachezaji huku alisema ratiba hiyo haitekelezeki akizingita mechi zingine zinachezwa saa 8 mchana huku wakisafiri mikaoni kwa Muda mchache
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app