Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona timu haipo vibaya kiivoo
Naweza ungana nae labda golini na forward msumbufu hana
Simba Simba Simba! hilo ndiyo tatizo lenu[kubwa]. Timu bado inaongoza halafu mnaanza timbili hizi ambazo zinawaathiri sana wachezaji na hivyo uwezekano wa kuharibu kutokana na pressure hizo ni kubwa sana.Kocha wa Simba, Joseph Omog ametangaza kuifumua timu hiyo ni baada ya kuchapwa na Prisons, kuanza na mabeki na kipa
View attachment 431955
Acha wauane huko..... Yanga ubingwa uleeee kirahisi kabisa..Hapo ndio wanapoharibu.
La hovyo Kama wewe ulivo wa hovyo kite weweLitimu lenyewe la hovyo tu,alifanye vyovyote atakavyo,iwe analifumua au analibomoa ila wajue nafasi ya 3 inawahusu wakijitahidi basi watakuwa wa 2.
Ndio umeandikaje mkuuBikungu no mchezaji beki was katisijui kwanini anamng'ang'ania kucheza pembeni kipa anaeuhusu magoli rahisi mno