eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 314
Kuna habari kuwa Omong kapewa mechi 4 ambazo kama akiboronga anatimuliwa.Hivi tujiulize,kama ni kweli basi watakua hawamtendei haki.Ndio wametumia hela nyingi sana kusajili karibu timu nzima,ila wengi viongozi ndo walosajili bila kumhusisha sasa kwa nini jumba bovu limuangukie yeye?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app