CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Kijana wa hovyo kabisa... Kwahiyo Hapo unaona ndo umewazaa mwenyewe!!Yaa
Yaan MO anasajili wachezaji.Anasajili kocha.Halafu anaonga waamuz.Du!!Tanzania tutalisikia tu kombe la dunia .
Ameshasema team selection na formation or style ya kochaKosa lake nini ?
Sure chama anacheza vizuri zaidi alkiwa nyuma ya straika, sasa ivi chama yuko anacheza winga matokeo yake mpira unapoa kinoma, na sijui kwa nini okra hachezi huyu ndo winga aambaye anatakiwa apokee pasi kutoka kwa chama na kanoute.Mpira anaocheza simba ni wa hovyo na ni style ya huyu mwalimu mpya Roberto.
Wachezaji wapo ila hawapangwi ktk sehemu zao wachezaji wana struggle sana kucopy style ya kocha huyu na hawapo teyri.
Yanini kung'ang'ania mfumo usioendana na style ya wachezaji waliopo.
Kwa kikosi cha simba kama mgunda ndio angepanga team leo tulikuwa na uhakika na goli zaidi ya 3 pale..
Kwa hili linaloendelea nashauri huyu kocha aondoke tu atuachie team yetu isee.
issue ni umeshindaje? ukikutana na vidume kama esperance utatoboa?Inafurahisha kuona kuwa pamoja na ushindi lakini hamna FURAHA.
Nipe statistics za mechiMpira anaocheza simba ni wa hovyo na ni style ya huyu mwalimu mpya Roberto.
Wachezaji wapo ila hawapangwi ktk sehemu zao wachezaji wana struggle sana kucopy style ya kocha huyu na hawapo teyri.
Yanini kung'ang'ania mfumo usioendana na style ya wachezaji waliopo.
Kwa kikosi cha simba kama mgunda ndio angepanga team leo tulikuwa na uhakika na goli zaidi ya 3 pale..
Kwa hili linaloendelea nashauri huyu kocha aondoke tu atuachie team yetu isee.