Kocha wa Simba Roberto asepe

Kocha wa Simba Roberto asepe

Kaka

Ubahili wa Mwamedi Ndio chanzo Cha yote haya.

Simba Ina wachezaji WATANO TU.
Inonga, Chama, Saido, Manula, kapombe na shabalala .

SIMBA INA WACHEZAJI MIZIGO WENGI MNO.
Kanute, Banda, Ottara, Okwa, Onyango Umri, Sawadogo, Baleke.

Imagine una kiungo MZAMIRU na kanute.
Yanga Ina kiungo
BANGALA NA AUCHO.

MO ANAIHUJUMU SANA SIMBA.
KOCHA ASIGUSWE KABISA
 
Huyu Kocha mzuri sana, tunasubiria mechi na Utopolo kama ataendelea kuwepo baada ya mechi!
 
Mpira anaocheza simba ni wa hovyo na ni style ya huyu mwalimu mpya Roberto.

Wachezaji wapo ila hawapangwi ktk sehemu zao wachezaji wana struggle sana kucopy style ya kocha huyu na hawapo teyri.

Yanini kung'ang'ania mfumo usioendana na style ya wachezaji waliopo.

Kwa kikosi cha simba kama mgunda ndio angepanga team leo tulikuwa na uhakika na goli zaidi ya 3 pale..

Kwa hili linaloendelea nashauri huyu kocha aondoke tu atuachie team yetu isee.
Sure chama anacheza vizuri zaidi alkiwa nyuma ya straika, sasa ivi chama yuko anacheza winga matokeo yake mpira unapoa kinoma, na sijui kwa nini okra hachezi huyu ndo winga aambaye anatakiwa apokee pasi kutoka kwa chama na kanoute.

kwa ufupi simba imepoa sana wachezaji nakubali wapo ila mfumo wa kocha ni mbovu hat akama itaingia robo fainali haifiki mbali.
 
Mpira anaocheza simba ni wa hovyo na ni style ya huyu mwalimu mpya Roberto.

Wachezaji wapo ila hawapangwi ktk sehemu zao wachezaji wana struggle sana kucopy style ya kocha huyu na hawapo teyri.

Yanini kung'ang'ania mfumo usioendana na style ya wachezaji waliopo.

Kwa kikosi cha simba kama mgunda ndio angepanga team leo tulikuwa na uhakika na goli zaidi ya 3 pale..

Kwa hili linaloendelea nashauri huyu kocha aondoke tu atuachie team yetu isee.
Nipe statistics za mechi
 
Back
Top Bottom