Kocha wa Simba SC anatakiwa kuingia na mbinu ipi kuhakikisha anapata ushindi dhidi ya RS Barkane?

Kocha wa Simba SC anatakiwa kuingia na mbinu ipi kuhakikisha anapata ushindi dhidi ya RS Barkane?

Ni sahihi ila ila huyu kocha anamahaba ya juu sana na kibu Kwaiyo kesho usitegemee kumuona banda hapo
Haha kama ulikuwepo vile namuona kibu ndani ya 1st X1. Sema sio mbaya ila namuona na kagere pia sasa sijui ndio anacheza na double striker (kibu+kagere) au ndio kibu anasimam nyuma striker (kagere).

Tusubiri tuone lkn

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom