Kocha wa Taifa stars alishinikizwa kupanga kikosi?

Kocha wa Taifa stars alishinikizwa kupanga kikosi?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Huyu kocha mpya wa Taifa stars alimuona wapi Fei Toto akicheza mpira hadi amuite timu ya Taifa na kumpa nafasi ya kucheza mechi ya ushindani kama Ile?

Kapombe na Shabalala waliongezwa kwenye kikosi na nani kwasababu zipi? Kikosi kilichocheza kule Misri kilikuwa na madhaifu gani yaliyowahitaji Mohamed Hussein and Kapombe kuyaziba?

Mpira wetu una safari ndefu sana.
 
Sikio la kufa!
Timu inayoshinda hutakiwa kurudi hiyo hiyo. Hivi nani alimshauri vibaya Kocha Adel kubadilisha timu inayoshinda?

Sasa haya masimba yamesikia uchungu machezaji Yao hayamo Taifa Stars yakaharibu list na kuingiza magarasa Yao na tumefungwa kama walivyotaka.

Timu ya misri ilicheza vizuri mno.

Unamuwekaje nje le Kapiteni Bakari Nondo? Ni mrefu anakaba Kwa akili na Kiwango kimerudi? Kocha nani anamsumbua? Mr Karai au Mo? Haya masimba nuksi kweli timu ya Taifa haishindi sababu yanaingilia sana Kocha.

Haya Kapombe wao wanaelazimisha awemo Stars kaingia tu na kupoteza balance ya ukuta WA Taifa Stars na tukafungwa! Maana ilibidi Job arudi kati. How can you disturb equilibrium ya beki line Katikati ya mchezo?

Mkiambiwa Tshabalala na Kapombe wakae benchi muwe mnasikia tumeshinda misri wakiwa hawapo tumefungwa home wakiwemo. Mpira uko utopoloni kwasasa unbeaten team kule twiga street tunajua sana ndo Maana tunabeba Tena NBC premier league Kwa mara ya pili mfululizo!

Tshabalala hata kupiga krosi zile anazopiga Simba hamna nguvu Hana sijui alikuwa kafunga? Hivi nani katuloga kulazimisha wachezaji wabovu WA Simba wacheze Stars.

Unamtoaje Samatta alie kwenye Kiwango anapambana unaona? Anachezesha timu unaona? Samatta kutoka tu Uganda wakapata nguvu na wakaanza kupanda na wakafunga.

Kuwatoa Himid Mao alie kwenye Kiwango na Mzamiru hakika kuliipasua ngome ngumu ya Stars.

Kocha Adel akilazimisha wachovu WA Simba Tshabalala na Kapombe kwenye timu yake ataangukia pua!

Viongozi wasije uwanjani wanatia presha kubwa wachezaji na kupoteza Umakini

Kama Kocha Adel kama ana masikio na asikie!
 
Huyu kocha mpya wa Taifa stars alimuona wapi Fei Toto akicheza mpira hadi amuite timu ya Taifa na kumpa nafasi ya kucheza mechi ya ushindani kama Ile?

Kapombe na Shabalala waliongezwa kwenye kikosi na nani kwasababu zipi? Kikosi kilichocheza kule Misri kilikuwa na madhaifu gani yaliyohotaji kuzibwa na Mohamed Hussein and Kapombe?

Mpira wetu una safari ndefu sana.
Wee jamaa acha uzembe, ujiulize kwann baada ya game ya simba vs horoya kwann kocha aliwatafuta kapombe na zimbwe na kuteta nao kwa muda mrefu pembeni ? Kwan ni zimbwe na kapombe ndio walimuita kocha ?


Makosa ya jana ni wazi ni ya TB, unamtoa mzamiru mtu ambae alikuwa anafanya kazi chafu eneo la katikati na kuwafanya uganda wakose utulivu + umakini binafsi naona pale ndipo alipo potea
 
Bora hata mimi tangu mwanzo niliweka msimamo wangu humu jukwaani; kamwe siwezi kjiwekea dhamana timu ya Taifa (yaani Taifa Stars).

Yaani pale unapofikiria watashinda; ndiyo wanafungwa. Na pale unapofikiria wanafungwa, mwisho wa siku wanashinda.
 
Ukweli niliouina ni huu.
Kocha wa Tanzania alihisi kamaliza gemu so akawaanacheza na mashabiki kwa kutaka kuwafurahisha watu wote wacheze.

Huku Micho ndomalikuwa anaanza gemu.
So pale utofauti ni uzoefu wa makocha na mbinu za kusoma gemu.

Kufungwa jana ni makosa ya kawaida wanayoyafanya makosa. Lakini ukiangalia kwa Hali yetu ule ni upumbavu wa kocha. Ningekuwa ninanafasi kocha yule ni mpumbavu na hatufai ktk kushinda mechi kubwa.
 
Luhende...hana uwezo wa kucheza ktk kile kikosi. Zimbwe alitakiwa amalize gemu. Mwalimu hakujiandaa kwa unexpected event. Kumtoa mdhamiru then kuumia kwa Himid Mao timi ikalose pale Kati.

Unamuingiza Feisali hakuna alichokifanya zaidi ya kudondoka dondoka
 
Luhende...hana uwezo wa kucheza ktk kile kikosi. Zimbwe alitakiwa amalize gemu. Mwalimu hakujiandaa kwa unexpected event. Kumtoa mdhamiru then kuumia kwa Himid Mao timi ikalose pale Kati.

Unamuingiza Feisali hakuna alichokifanya zaidi ya kudondoka dondoka
Tangu siku ya Kwanza nilijiuliza, hivi Luhende ninayemfahamu ndo kaitwa timu ya Taifa au kuna kijana mpyaaa anatumia jina Hilo?
 
Sikio la kufa!
Timu inayoshinda hutakiwa kurudi hiyo hiyo. Hivi nani alimshauri vibaya Kocha Adel kubadilisha timu inayoshinda?

Sasa haya masimba yamesikia uchungu machezaji Yao hayamo Taifa Stars yakaharibu list na kuingiza magarasa Yao na tumefungwa kama walivyotaka.

Timu ya misri ilicheza vizuri mno.

Unamuwekaje nje le Kapiteni Bakari Nondo? Ni mrefu anakaba Kwa akili na Kiwango kimerudi? Kocha nani anamsumbua? Mr Karai au Mo? Haya masimba nuksi kweli timu ya Taifa haishindi sababu yanaingilia sana Kocha.

Haya Kapombe wao wanaelazimisha awemo Stars kaingia tu na kupoteza balance ya ukuta WA Taifa Stars na tukafungwa! Maana ilibidi Job arudi kati. How can you disturb equilibrium ya beki line Katikati ya mchezo?

Mkiambiwa Tshabalala na Kapombe wakae benchi muwe mnasikia tumeshinda misri wakiwa hawapo tumefungwa home wakiwemo. Mpira uko utopoloni kwasasa unbeaten team kule twiga street tunajua sana ndo Maana tunabeba Tena NBC premier league Kwa mara ya pili mfululizo!

Tshabalala hata kupiga krosi zile anazopiga Simba hamna nguvu Hana sijui alikuwa kafunga? Hivi nani katuloga kulazimisha wachezaji wabovu WA Simba wacheze Stars.

Unamtoaje Samatta alie kwenye Kiwango anapambana unaona? Anachezesha timu unaona? Samatta kutoka tu Uganda wakapata nguvu na wakaanza kupanda na wakafunga.

Kuwatoa Himid Mao alie kwenye Kiwango na Mzamiru hakika kuliipasua ngome ngumu ya Stars.

Kocha Adel akilazimisha wachovu WA Simba Tshabalala na Kapombe kwenye timu yake ataangukia pua!

Viongozi wasije uwanjani wanatia presha kubwa wachezaji na kupoteza Umakini

Kama Kocha Adel kama ana masikio na asikie!
Bacca, Bakari na Job wanajuana, wamezoeana, ndio maana kule misri Manula hakudaka mipira mingi. Samantha alikuwa anakabwa na wachezaji zaidi ya 3, mzamiru alikuwa anawakabia juu kwa juu. Hivi Faisal amecheza tangu lini hadi akamvutia kocha? Au anatumia historia ya mchezaji? Imetuumiza sisi wote. Kama unampenda sana mchezaji mwajili nyumbani kwako lakini isiwe kama hivi. A winning team never change.
 
Wee jamaa acha uzembe, ujiulize kwann baada ya game ya simba vs horoya kwann kocha aliwatafuta kapombe na zimbwe na kuteta nao kwa muda mrefu pembeni ? Kwan ni zimbwe na kapombe ndio walimuita kocha ?


Makosa ya jana ni wazi ni ya TB, unamtoa mzamiru mtu ambae alikuwa anafanya kazi chafu eneo la katikati na kuwafanya uganda wakose utulivu + umakini binafsi naona pale ndipo alipo potea
Mechi na horoya ilichezwa lini, mbona hakwenda nao Egypt kama walimkosha kocha badala yake akaondoka na Manula na Mzamiru, kwani Manula na mazamiru hawakucheza mechi ya horoya?
 
Bora hata mimi tangu mwanzo niliweka msimamo wangu humu jukwaani; kamwe siwezi kjiwekea dhamana timu ya Taifa (yaani Taifa Stars).

Yaani pale unapofikiria watashinda; ndiyo wanafungwa. Na pale unapofikiria wanafungwa, mwisho wa siku wanashinda.
Kaka hizi siasa zetu za mpira zinawaumiza wachezaji ambao wako serious kama Mbwana, msuva, bacca na wengine wanaovuja jasho Yao hadi tone la mwisho. Hivi unampangaje Mbwana samata aliye serious na mpira na Fei Toto ambae hayuko serious na mpira kwenye mechi kama Ile? Yaani sawa na chumba chenye AC 3 zikafa 2 ikabakia moja inayofanya kazi. Lazima na hiyo moja itaharibika TU tena haraka.
 
Ukweli niliouina ni huu.
Kocha wa Tanzania alihisi kamaliza gemu so akawaanacheza na mashabiki kwa kutaka kuwafurahisha watu wote wacheze.

Huku Micho ndomalikuwa anaanza gemu.
So pale utofauti ni uzoefu wa makocha na mbinu za kusoma gemu.

Kufungwa jana ni makosa ya kawaida wanayoyafanya makosa. Lakini ukiangalia kwa Hali yetu ule ni upumbavu wa kocha. Ningekuwa ninanafasi kocha yule ni mpumbavu na hatufai ktk kushinda mechi kubwa.
Sio kweli, Kuna shinikizo nyuma yake, wanatumia ugeni wake kumshauri vibaya. Huwezi kusema huyu kocha anafahamu uwezo wa Fei Toto wa hivi karibuni. Wale wanaotaka kumchukua Fei ndio wanaolazimisha Fei acheze.
 
Waingereza wamewaharibu watanzania, kocha hana tatizo lolote kiukweli timu yetu bado au mnajifanya mmesahau tulivyotoa draw na kongo wakaja hapa wakatupiga tatu.
Unazungumzia kocha kamwona wapi Feisal mbona huzungumzii kawaona wapi kina Metacha na Kibwana ambao katika timu zao ni Benchi.
Jana Zimbwe aliumia na alionyesha ishara akatolewa , Himid Mao pia aliumia na pengo lake halikuweza kuzibwa na yeyote kwani yeye kiasi kikubwa ndio alikuwa anazuia katikati. Mzamiru hakuwa na game nzuri na pia kama alikuwa anatafuta kadi.
Mnapoijadili timu ya taifa wekeni mapenzi yenu pembeni hata Backa ameza kuchezeshwa juzijuzi.
 
Sio kweli, Kuna shinikizo nyuma yake, wanatumia ugeni wake kumshauri vibaya. Huwezi kusema huyu kocha anafahamu uwezo wa Fei Toto wa hivi karibuni. Wale wanaotaka kumchukua Fei ndio wanaolazimisha Fei acheze.
Yeye kama kocha alitakiwa afate utaalam wake
 
Luhende...hana uwezo wa kucheza ktk kile kikosi. Zimbwe alitakiwa amalize gemu. Mwalimu hakujiandaa kwa unexpected event. Kumtoa mdhamiru then kuumia kwa Himid Mao timi ikalose pale Kati.

Unamuingiza Feisali hakuna alichokifanya zaidi ya kudondoka dondoka
Zimbwe aliomba kutoka yeye mwenyewe
 
Ukweli niliouina ni huu.
Kocha wa Tanzania alihisi kamaliza gemu so akawaanacheza na mashabiki kwa kutaka kuwafurahisha watu wote wacheze.

Huku Micho ndomalikuwa anaanza gemu.
So pale utofauti ni uzoefu wa makocha na mbinu za kusoma gemu.

Kufungwa jana ni makosa ya kawaida wanayoyafanya makosa. Lakini ukiangalia kwa Hali yetu ule ni upumbavu wa kocha. Ningekuwa ninanafasi kocha yule ni mpumbavu na hatufai ktk kushinda mechi kubwa.
Sio kweli, Kuna shinikizo nyuma yake, wanatumia ugeni wake kumshauri vibaya. Huwezi kusema huyu kocha anafahamu uwezo wa Fei Toto wa hivi karibuni. Wale wanaotaka kumchukua Fei ndio wanaolazimisha Fei acheze.
Waingereza wamewaharibu watanzania, kocha hana tatizo lolote kiukweli timu yetu bado au mnajifanya mmesahau tulivyotoa draw na kongo wakaja hapa wakatupiga tatu.
Unazungumzia kocha kamwona wapi Feisal mbona huzungumzii kawaona wapi kina Metacha na Kibwana ambao katika timu zao ni Benchi.
Jana Zimbwe aliumia na alionyesha ishara akatolewa , Himid Mao pia aliumia na pengo lake halikuweza kuzibwa na yeyote kwani yeye kiasi kikubwa ndio alikuwa anazuia katikati. Mzamiru hakuwa na game nzuri na pia kama alikuwa anatafuta kadi.
Mnapoijadili timu ya taifa wekeni mapenzi yenu pembeni hata Backa ameza kuchezeshwa juzijuzi.
Watanzania wanadhani kujaa wengi uwanjani Kunaleta ushindi, hapana uwanjani wanaocheza ni wachezaji kwa mtindo wa garbage in garbage out, kama tunawaacha akina George mpole na Mzize na kuchezesha akina Fei Toto na luhende si tumerogwa sisi?
 
Sio kweli, Kuna shinikizo nyuma yake, wanatumia ugeni wake kumshauri vibaya. Huwezi kusema huyu kocha anafahamu uwezo wa Fei Toto wa hivi karibuni. Wale wanaotaka kumchukua Fei ndio wanaolazimisha Fei acheze.

Watanzania wanadhani kujaa wengi uwanjani Kunaleta ushindi, hapana uwanjani wanaocheza ni wachezaji kwa mtindo wa garbage in garbage out, kama tunawaacha akina George mpole na Mzize na kuchezesha akina Fei Toto na luhende si tumerogwa sisi?
acha mahaba
 
acha mahaba
Kaka Zimbwe Jr na kapombe ni wachezaji wazuri hapa tz tunawajua, niambie wewe ni kwanini waliachwa safari ya misri na kwanini wameongezwa kwenye mechi ya DSM. Hata ukimuuliza Manula atakwambia ni beki ipi ilikuwa Bora kwake kati ya Ile ya misri na hii ya DSM.
 
Ivii kwanini wampangie Kocha Kikosi?

Kwanini mumpe Kocha shinikizo la kumuita flaani na flaani katikati na wakati Alisha - select wachezaji wake!?

Kwanini mnaendekeza Usimba na Uyanga Jamani!?

Why Jamani nyie wacha-[emoji238], tff, na mashabikii, why mlete mahaba yenu na vilabu vyenu kwenye National Team!!?

Oneni Sasa!!!

Sasa mlimuajili Kocha wa Nini kama kwenye maamuzi yake mnamuingilia!??
 
Ivii kwanini wampangie Kocha Kikosi?

Kwanini mumpe Kocha shinikizo la kumuita flaani na flaani katikati na wakati Alisha - select wachezaji wake!?

Kwanini mnaendekeza Usimba na Uyanga Jamani!?

Why Jamani nyie wacha-[emoji238], tff, na mashabikii, why mlete mahaba yenu na vilabu vyenu kwenye National Team!!?

Oneni Sasa!!!

Sasa mlimuajili Kocha wa Nini kama kwenye maamuzi yake mnamuingilia!??
Walimuogopesha kocha kuwa bila hawa jamaa kuongezwa uwanja hautajaa, mchezaji wa 12 hatakuja kiwanjani. Ukweli huwezi kumfanisha msuva na Fei Toto kuwa wote hawakuwa na timu lakini wameitwa timu ya taifa. Viwango vyao na shida zao zilikuwa tofauti kabisaa.
 
Back
Top Bottom