Kocha wa Taifa stars alishinikizwa kupanga kikosi?

Kocha wa Taifa stars alishinikizwa kupanga kikosi?

Kaka Zimbwe Jr na kapombe ni wachezaji wazuri hapa tz tunawajua, niambie wewe ni kwanini waliachwa safari ya misri na kwanini wameongezwa kwenye mechi ya DSM. Hata ukimuuliza Manula atakwambia ni beki ipi ilikuwa Bora kwake kati ya Ile ya misri na hii ya DSM.
Kavulata unahitaji kumuona daktari wa magonjwa ya akili. Yaani tumeshinda Misri Kapombe na Tshabalala hawamo na Dar tumewaweka tukapigwa Bado unawasifia?
 
Kocha aligoma kuongea na wanahabari baada ya mechi kutokana na kujutua uwamuzi wa kukubali shinikizo la kubadilisha kikosi na wachezaji. Watu wanamwambia mpange na yule mchukue na yule hadi akapoteza mechi.
 
Back
Top Bottom