Kocha wa Taifa stars alishinikizwa kupanga kikosi?

Kavulata unahitaji kumuona daktari wa magonjwa ya akili. Yaani tumeshinda Misri Kapombe na Tshabalala hawamo na Dar tumewaweka tukapigwa Bado unawasifia?
 
Kocha aligoma kuongea na wanahabari baada ya mechi kutokana na kujutua uwamuzi wa kukubali shinikizo la kubadilisha kikosi na wachezaji. Watu wanamwambia mpange na yule mchukue na yule hadi akapoteza mechi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…