Kocha wa Taifa Stars ametumia vigezo gani kumuacha Kampombe, Zimbwe, Mzize na Sure Boy na kuita kikosini wakalia benchi?

Hata hao walioachwa wangeitwa, bado kusingetokea maajabu yoyote yale, maana Tanzania tumejaliwa wachezaji wa ndondo cup tu! Wachezaji wa viwango vya Kimataifa, hatuna.
Inabidi tusishiriki mashindano ya kimataifa Kwa Hali hii
 
Hao si wachezaji

Hata Manura kwa makosa yake hapaswi daka
 
Kocha ndiye atakayewajibika kwa lolote, kuanzia kuchagua kikosi, kupanga kikosi, matokeo mazuri na matokeo mabovu. Kama asipofikisha malengo, atawajibika kuachia nafasi au kufukuzwa
Kocha Hana hata mwez anawajibika Kwa lipi hapo lawama Kwa waliomchagulia majina tu
 
Yule dogo Kremensi sijui Kremlin wa Vyura fc anaweza, hakupaswa kumwacha. Hawa madingi wengine hakuna shida
 
Ila kwa Kapombe, Sure Boy, Shabalala na Mzize Kocha katukosea sana Watanzania. Akifungwa atuombe radhi kwa kweli.
 
Kwa sasa Bongo hatuna forward kama Mzize.

Kwakweli ni huzuni kumuachia nje Ila sio mbaya always Taifa Stars inatakiwa kufungwa sio kushinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…