fredymahenge
Member
- Nov 19, 2014
- 70
- 28
toka malinzi achukue ofic timu ya taifa imeshinda mara ngapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mh.Mch. Msigwa: Uwendawazim n kufanya kitu kile kile kwa akil zile zile af utegemee mabadiliko
toka malinzi achukue ofic timu ya taifa imeshinda mara ngapi??
Tatizo ni malinzi...wala sio kocha...siku zote hua nasema....ni sababu ipi ilimfanya malinzi kumtimua Kim?
toka malinzi achukue ofic timu ya taifa imeshinda mara ngapi??
Mtabadili kila aina ya makocha, tatizo si makocha tatizo ni uongozi wa TFF.
Kiongozi wa TFF Jamal Malinzi ni mbovu na wanaomsaidia wote ni wabovu, hawana ubunifu na hawana muono wa kujuwa wapi pakurekebisha, wewe fikiri kiongozi wa mpira wa karne hii anatangaza kuwa tatizo ni jezi! Khaa!
Tanzania soka linaweza kukuwa kwa haraka sana, ni ubunifu na mipango ya haraka na ya muda mrefu inayotakiwa ifanyike.
Hawa viongozi wa soka wamefikia mwisho wa fikra zao, hawawezi, hawawezi, hawawezi.
cc Bishanga
toka aingie timu imecheza mechi18. Kushinda2, kudroo1, kufungwa 15
kanuni ya mvuto. Unavutia vile unavyofanana navyo sio vile unavyovitamani. Uongozi mbovu huvutia watendaji wabovu. Akifukuzwa kocha tutegemee kumpata mwingine mbovu.
Yeah hio ndio Point yangu, kwa mfano, wako wapi wale Vijana ambao ndio walikua Mabingwa kwenye World Cup ya watoto waishio mazingira hatarishi? Wako wapi>? Wanafanya nini? Iko wapi ile hazina??
Michael Mazalla: TANZANIA YASHINDA KOMBE LA DUNIA KWA WATOTO WA MITAANI
Basi Jamal Malinzi aachie uongozi TFF kwa wanaoweza. Anawaumiza sana Watanzania.
cc Bishanga