Kocha wa TWIGA stars adaiwa kugoma kuongea na Waandishi wa Habari

mtoa uzi umeandika pumba kabisa.. yaani mwandishi wa habari anaweza kumpaisha na kumshusha kocha mwenye taaluma yake?
 
Niliiona ile,alikuwa kama ana jazba flani hivi,nadhani itakuwa kuna mtu alimvuruga akili kabla ya tukio lile...
 
Exactly Mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…