Kitendo cha kocha kumjibu mwandishi wa habari kuwa hata kama yuko live hawezi kuongea amuache, nadhani hili sio sawa, kwa walotazama taarifa ya habari TBC nadhani watakuwa wameona situation nzima.
Waandishi wa habari wanaweza kukuinua na hao hao wanao uwezo wa kukushusha pia.
Baada ya mechi kuisha either imepata ushindi au imeshindwa, kocha mara nyingi tunataka kusikia tamko kutoka kwa kocha.
Tukishaanza kupiga hatua tu tuna kajitabia kakupandisha mabega.
MEDIA za Tanzania mna njama kuififisha Twiga Stars, coverage ya mechi walizocheza COSAFA hakuna, bora hapa media ya Jamiiforums wametupia clips za video kibao za Twiga Stars toka mechi za makundi hadi mechi ya fainali ya Malawi Vs Tanzania Cosafa Women's Championship 2021 mjini Mandela Bay KwaZulu Natal Republic of South Africa.
Huu 'uzalendo' TBC, Azam, Global TV Online n.k wa kuvizia airport timu ikirudi ndiyo kujidai kufanya interview unatoka wapi?
09 October 2021
Nelson Mandels Bay stadium
Port Elizabeth,
Republic of South Africa
Watch the COSAFA women's final 2021
Tanzania 1 - 0 Malawi
Bakari Shime in interview with Cosafa TV , praised his Twiga Stars players
Tanzania wins the 2021 COSAFA Women's Cup title by beating Malawi 1-0 in the final of the competition.
Source : Zambian soccer updates
Hawa ndiyo wawakilishi wetu Kimataifa, wanafanya vizuri na kulitangaza jina na kupeperusha bendera yetu ngazi za juu kimataifa.
Michezo ni sehemu ya diplomasia ya kuitangaza nchi ulimwenguni iwe Olympics CECAFA COSAFA CAF FIFA , WORLD CHAMPIONSHIP n.k na Michezo ni kutangaza utalii, nafasi za ajira ya mchezaji wa kulipwa, Michezo ni afya na michezo ni siasa.
Tanzania W Vs Zambia W (1 - 1) –Penalty (3-2) -Highlights & Goals –2021 COSAFA Women's Championship
Matokeo ya mchezo wa nusu Fainali michuano ya COSAFA.Tanzania W Vs Zambia W (1 - 1) –Penalty (3 - 2) (Lushomo Mweemba og 17' | Grace Chanda 70') Tanzania wins 3-2 on postmatch penalties to progress to the final. Margaret Belemu, Lushomo Mweemba, and Ochumba Oseke Lubanji missed their spot-kicks.
Tanzania edged Zambia 3-2 on penalties in a pulsating first semifinal that finished 1-1 after 90 minutes. The East African guest had the better of the first half and was rewarded with the opening goal as Zambia defender Lushomo Mweemba put the ball into her own net.
But the Copper Queens came more into the game in the second half and were level with just over 20 minutes to go when captain Grace Chanda netted her third goal of the competition.
That took the match to penalties, but it was Tanzania who held their nerve as goalkeeper Janeth Simba produced a number of excellent saves in the shoot-out
Mabibi na mabwana, hawa ndio upinzani wenye ndoto ya kuitoa CCM madarakani. [emoji23][emoji23][emoji23] Yaani wameshindwa hata kutumia akili ndogo tu kutambua kuwa haya majengo ni tofauti! Wamejawa chuki za kijinga, hawapendi kuona mji fulani wa Tz ukiendelea kisa tu kuna mtu wa huko...
Tanzania’s regional win evidence of growing depth in Africa
10 Oct 2021
Tanzania caused an upset in the 2021 COSAFA Women’s Championship
Favourites South Africa and Zambia forced to settle for semi-final berths
African qualifiers for Australia & New Zealand 2023 due to get underway
Tanzania are the latest nation to demonstrate that the talent pool in African women’s football is growing at an exponential rate. The Twiga Stars proved that upcoming African zone FIFA Women’s World Cup™ qualifiers will be a mouth-watering prospect by upsetting the odds to win the 2021 COSAFA Women’s Championship at the weekend.
As hosts, seven-time champions South Africa started as favourites in the eyes of many, followed by Zambia on the back of their recent breakthrough showing at the Women’s Olympic Football Tournament in Japan.
Instead a guest stole the show at the regional championship for nations in the bottom quarter of the Mother Continent. East African nation Tanzania, along with fellow guests South Sudan and Uganda, helped make up the 12-nation roster for the 22-match tournament played in Port Elizabeth over 12 whirlwind days.
💥 An incredible hat-trick of titles for @twigastars, who now hold titles at U-17, U-20 and senior level 🇹🇿
Tanzania, Zambia and South Africa won the three respective groups, with Malawi edging Zimbabwe to join the trio in the semi-finals as the best runner-up. Despite missing their goalscoring powerhouse from Tokyo 2020, Barbra Banda, Zambia again displayed their free-scoring style with nine unanswered goals in the group stage.
Zambia, though, could find no way past Tanzania in the last-four match-up with the Twiga Stars triumphing on penalties.
Malawi made yet more history in the other semi-final with Sabinah Thom’s double earning a 3-2 victory over holders South Africa for a maiden ticket to the final. Conversely, it was the first time that the record holders have failed to make the championship decider.
A lone second-half strike from Enekia Lunyamila proved enough for Tanzania to edge out Malawi for the title on Saturday. Tanzania’s captain Amina Bilali was named player of the tournament for her performances in midfield.
A penalty shoot-out win saw Zambia claim their fourth bronze medal to go with the silver they picked up in 2019. The was some consolation for South Africa with forward Sibulele Holweni (five goals) top goal-scorer for the second year running following on from her eight goal haul in 2020.
“We’ll make sure that we are in good shape,” said South Africa coach Desiree Ellis said after the tournament’s finale referencing the fast-looming continental qualifying campaign for Australia & New Zealand 2023.
Two rounds of home and away knockout ties will commence later this month, with the top four nations at next year’s 12-team CAF Women’s Africa Cup of Nations to win through to the world stage.
Kitendo cha kocha kumjibu mwandishi wa habari kuwa hata kama yuko live hawezi kuongea amuache, nadhani hili sio sawa, kwa walotazama taarifa ya habari TBC nadhani watakuwa wameona situation nzima...
Ahadi ya kocha Bakari Shime kabla ya kuelekea Port Elizabeth South Africa ya kurudi na kikombe cha michuano ya COSAFA 2021 kwa wanawake. Pia timu ya wanawake inajitayarisha kwa michuano ya Afrika kwa wanawake AW(F)CON League ya wanawake baada ya michuano ya COSAFA 2021 kwa wanawake.
Kikosi cha timu ya Taifa kwa wanawake - Twiga Stars Mabingwa wa michuano ya COSAFA 2021 kwa wanawake wakiwasili na Kombe uwanja wa Julius Nyerere Intl Airport
Kitendo cha kocha kumjibu mwandishi wa habari kuwa hata kama yuko live hawezi kuongea amuache, nadhani hili sio sawa, kwa walotazama taarifa ya habari TBC nadhani watakuwa wameona situation nzima...
Kitendo cha kocha kumjibu mwandishi wa habari kuwa hata kama yuko live hawezi kuongea amuache, nadhani hili sio sawa, kwa walotazama taarifa ya habari TBC nadhani watakuwa wameona situation nzima...
Kitendo cha kocha kumjibu mwandishi wa habari kuwa hata kama yuko live hawezi kuongea amuache, nadhani hili sio sawa, kwa walotazama taarifa ya habari TBC nadhani watakuwa wameona situation nzima...
Kitendo cha kocha kumjibu mwandishi wa habari kuwa hata kama yuko live hawezi kuongea amuache, nadhani hili sio sawa, kwa walotazama taarifa ya habari TBC nadhani watakuwa wameona situation nzima..
Kama maswali yenyewe ni "ety watanzania wanasema hujitumi kwenye timu ya taifa" bora akatae tu na ningekua karbu ningemshauri amkate makofi huyo mwandishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.