Kocha wa Yanga afungiwa kuiongoza timu yake katika mechi tatu. Mwamuzi aliyekataa goli la Ruvu Shooting afungiwa miezi mitatu

Kuna watu wanatetea ujinga na upuuzi! Sheria ni kwa wote! Fuata sheria uone kama utayumbishwa na mtu. Mtu hana staha wala adabu kwa mamlaka husika unamteteaje? Mwaka Jana huyu mtu kaichafua nchi ndani na nje,afu kuna majuha yanaona sawaa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…