safetymaster JF-Expert Member Joined Oct 9, 2016 Posts 226 Reaction score 285 Sep 4, 2019 #101 Kuna watu wanatetea ujinga na upuuzi! Sheria ni kwa wote! Fuata sheria uone kama utayumbishwa na mtu. Mtu hana staha wala adabu kwa mamlaka husika unamteteaje? Mwaka Jana huyu mtu kaichafua nchi ndani na nje,afu kuna majuha yanaona sawaa tu!
Kuna watu wanatetea ujinga na upuuzi! Sheria ni kwa wote! Fuata sheria uone kama utayumbishwa na mtu. Mtu hana staha wala adabu kwa mamlaka husika unamteteaje? Mwaka Jana huyu mtu kaichafua nchi ndani na nje,afu kuna majuha yanaona sawaa tu!
1 1954 JF-Expert Member Joined Nov 14, 2006 Posts 11,246 Reaction score 13,722 Sep 4, 2019 #102 KUCH KUCH said: Ruvu shooting wanadai goal lao Click to expand... Vipi kuhusu offside fake dhidi ya Molinga na yule namba 6 wa Ruu kutooneshwa red ard kwa faulo mbili mbaya?
KUCH KUCH said: Ruvu shooting wanadai goal lao Click to expand... Vipi kuhusu offside fake dhidi ya Molinga na yule namba 6 wa Ruu kutooneshwa red ard kwa faulo mbili mbaya?