Kocha wa Yanga akataa ushamba

Kocha wa Yanga akataa ushamba

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii hapa ndio kauli yake

Screenshot_2023-12-01-19-23-48-1.png
 
Lile ni litimu la limejaa ushamba na ulimbukeni mwingi sana.

Eti Bacca day na kuvaa misuli, mara mabango barabarani ilhali wao walishakandwa na Simba 5 - 0 na bado Simba haikufanya huo upuuzi wanaoufanya wao.
Mara eti zengeli day

Eti wanachomekea wote hadi mijitu mizima inajitoa fahamu.

Hawa ni walugaluga kweli mkuu.
 
Mara eti zengeli day

Eti wanachomekea wote hadi mijitu mizima inajitoa fahamu.

Hawa ni walugaluga kweli mkuu.
Aziz Ki day wote walionyesha mapaja yaliyopakwa mafuta. Naisubiri Kabwili Day watavaa shanga za rangi ya njano na kijani viunoni na MamaJ Day watavaa madera bila chupi.
 
Back
Top Bottom