Kocha wa Yanga apasua Jipu!

Shadeeya Bado siku mbili tu ya 3 tukutane Tena hapa hapa...
Najua hizo typing errors ndo zitakuwa lukuki siku hiyo maana wanasemaga matokeo yakiwa sio huwa moja haikai na mbili haikai pia.

Poa poa tukutane jumamosi Mkuu.
 
Aiseee! Hicho kikosi ni hatari.

Kikubwa Wachezaji wajitume tu wasibweteke na ule ubaridi pale kileleni. Teh teh.
 
Najua hizo typing errors ndo zitakuwa lukuki siku hiyo maana wanasemaga matokeo yakiwa sio huwa moja haikai na mbili haikai pia.

Poa poa tukutane jumamosi Mkuu.
Nitakuita,nitakutafuta pia.kama una moyo mgumu tukutane VIP B.
 
Ungekuwa ndugu yangu wewe ningebadilishana na gunia la ufuta
Nina uhakika asilimia [emoji817] Simba anashida hii gemu Mana Hana anachokihofia yanga ubingwa hamuzezi kuuchukua pasipo kupapaswa na mnyama.
 
Achana na ufuta badilishana na debe la pumba za mchele....maana huyo jamaa yako ni makapi kichwani.
Ungekuwa ndugu yangu wewe ningebadilishana na gunia la ufuta
Duh Yani kisa kuamini juma mosi vyura mtafungwa na Simba ndio yanawatoka matusi yote haya?
Kweli mi simu mi4 bila ubingwa imewavuluga Sana ila iwe isiwe juma mos mnakufa goli 4 swafi kabisa
 
Moloko msimsahau, mbio zake huku kulia ni balaa. Anawapeleka balaa Hussein hapandi kabisa.
 
Moloko msimsahau, mbio zake huku kulia ni balaa. Anawapeleka balaa Hussein hapandi kabisa.
Bakhti mbaya hajawahi shine kwenye dabi farid na saido wana upepo sana na hz mechi kulilo moloko japo ni mchezaji mzuri sikatai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…