Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
NABI: TUTAMKOSA MCHEZAJI MMOJA TU
.
“Tuna timu kamili nafikiri hii itakuwa sapraizi ya kwanza sijajua tumtumie mchezaji gani kuelekea mechi hii. Kila mtu yuko tayari na wachezaji wanataka kucheza hii mechi,” amesema Nabi ambaye juzi alipewa gari mpya aina ya Toyota Vanguard na uongozi wa GSM.
.
“Tutamkosa Yacouba (Songne) pekee, lakini tuna nafasi kubwa ya kuchagua watu bora ambao tutawaona wako tayari kutupa ushindi. Hii ni mechi ambayo tunatakiwa kushinda kwa namna yoyote.”
.
“Tuna timu kamili nafikiri hii itakuwa sapraizi ya kwanza sijajua tumtumie mchezaji gani kuelekea mechi hii. Kila mtu yuko tayari na wachezaji wanataka kucheza hii mechi,” amesema Nabi ambaye juzi alipewa gari mpya aina ya Toyota Vanguard na uongozi wa GSM.
.
“Tutamkosa Yacouba (Songne) pekee, lakini tuna nafasi kubwa ya kuchagua watu bora ambao tutawaona wako tayari kutupa ushindi. Hii ni mechi ambayo tunatakiwa kushinda kwa namna yoyote.”